Recent content by Mundele Makusu1

  1. M

    Ashinda milion 30 aapa kuwa tajiri ndani ya mwaka mmoja

    Kila la kheri kwake ... Kujaribu ni Bora kuliko kuogopa
  2. M

    KERO Uongozi wa Soko la Mabibo (Dar) umeuza meza yangu nilipoenda kumuuguza baba yangu, nimeumia sana

    Sawa Siku nyingine hatoaga viongozi atatafuta mbinu mbadala akiondoka
  3. M

    KERO Waliosoma BACHELOR OF SCIENCE IN INDUSTRIAL ENGINEERING MANAGEMENT – Mzumbe hakuna ajira zao zinazotangazwa

    Njoo ya UDSM kozi zipo nyiingi ila sasa kuajiriwa kimbembe....La msingi usitegemee kazi ya ulichosomea chochote halali ww Fanya tu
  4. M

    Mvua za Masika Updates: Hali ikoje huko ulipo?

    Sasa mwaliko WA Eid umekosa kisa mawazo yako potofu
  5. M

    IRAQ: Ubalozi wa Marekani jijini Baghdad washambuliwa kwa Makombora

    Kutoka Iran mpaka Marekani kwa ndege ni Siku nzima,ni vigumu muiran kumpiga mmarekani moja kwa moja Ndio maana hata Marekani anampiga muiran kwa Msaada WA nchi jirani
  6. M

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Omba kibali cha kuweza kuvumilia mawimbi yote maishani yaani kuishi kwa ajira au bila ajirA alimradi upate Hela
  7. M

    Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Ngoja waje kukupa Muongozo....Siku nyingine ukienda kutibiwa BEBA na mawasiliano ya wahusika ili ikusaidie huko mbele kama kipindi hiki
  8. M

    Kukua kwa DSE pamoja na ununuzi wa hisa za CRDB aka Tembo

    Sawa wasiliana na broker wako kwa Msaada zaidi...Ila ukigusa hio option ya action haina sehemu ya kuammend
  9. M

    Aviator addiction; something I don't wish even to my worst enemy

    Kutambua tatizo ,ni njia moja ya kusuluhisha tatizo
  10. M

    Kukua kwa DSE pamoja na ununuzi wa hisa za CRDB aka Tembo

    Fanya amendment ya order yako ,bei imepanda Kufikia Leo hivo ,badili bei
  11. M

    Uber yasitisha rasmi huduma zake Tanzania kuanzia Januari 30, 2026

    Sawa ila wale wanaweza shindwa Tanzania wakajiboresha kwingine
Back
Top Bottom