Swali la nyongeza hakuna namna kwa muwekezaji WA kimataifa kuweza kununua HISA moja kwa moja kama ilivyosoko la DSE kwa hapa Tanzania...Nimefikiri hivi kwasababu naona Kenya na Tanzania ni kama ndugu WA Afrika Mashariki
Hapana sio Lazima awe amesomea uhasibu ..Mtu Yoyote mwenye elimu ya kidato cha nne kwa Tanzania hio kazi anafanya alimradi yupo vizuri kusoma ,kuelewa na kuandika
Nimesoma hoja na mitazamo ya Wengi juu ya Biashara ya Mazao na kupata visa vingi vyenye kuelimisha,kuburudisha na kujenga mtazamo mpana juu ya hii Biashara.Kimsingi Kila Jambo Lina faida na hasara hivyo tusikate tamaa au kuwa na hofu kutokana na mitazamo hasi iliopo ama utakayopokea . Biashara...
Wakuu habari za majukumu
Kwa Yoyote mwenye Ufahamu au uelewa zaidi juu ya namna ya kuwekeza katika soko la HISA Kenya anisaidie ushauri na mawazo.Pia kama kuna soko zuri zaidi la Kenya kwenye HISA naomba nisaidiwe
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.