Mi nilishaanza kitambo. Siku hizi sisomi wala kununua magazeti, pomoja na kuwa nilikuwa mpenzi sana wa magazeti. Na poa sianalii na sisikilizi redio yoyote inayodhibiti habari.
Usituambie kuhusu kuufufua uchumi, tuambie kwanza ni nani aliuua? Bila kumkua muuaji atauua tena. Kwenye kuuua hatuitwi, kwenye kuufufua tunaitana. Nadhani wanaouua ndiyo wana wajibu wa kuufufua kama wanaweza.
Yaani CCM yangu imefikia mahali pa kununua wanachama? Yaani CCM yangu inakufa hivihivi. Halafu siioni mikutano ya kampeni ya CCM yangu jamani. Iko wapi? Yaani kila kona ni CHADEMA inajaza watu hata kama mgombea wao yuko jela duh!!! Jamani CHADEMA wabaya nyiyeeee!!!!
Haimarishi CCM na wala haui upinzani. Kifupi. Asilimia kubwa kama si wote wanaoenda CCM, ama wanashawishiwa kwa ahadi ya au pesa ama vyeo, na pengine kutaka kuhurumiwa katika shughuli afanyazo mtu. Sasa CCM haiwezi kujengwa kwa kuwapa asante wanaohamia huku kuna wanachama wengi ambao kwa muda...
Hivi bado tu mnasikiliza redio na TV hizi, vyombo vilivyoevemea upande mmoja? Au hata magazeti yaliyo salia baada ya mangine kufungiwa? Mi nimehamia mitandao ya kijamii.
Mbona ng'ombe waliokamatwa wamevushwa kutoka Kenya, hamkuwachoma moto? Kumbe double standard hadi kwa wanyama? Kumbe siyo tu kwenye nyumba, wengine wabomoleshwe na wengine wasibomoleshwe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.