real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC imesema imesema ni marufuku kufanya mikutano ya siasa Kwenye kampen za uchaguzi wa madiwani zinazoendelea nchini hivi sasa
NEC imesema chama ni ruhusa kumnadi mgombea wake akiwa katika kata anayogombea na ni marufuku kufanya kampeni katika Kata isiyohusika hata kama ni jirani.
NEC imesema katika chama hakitaruhisiwa kuzungumza mambo yaliyonje na kampeni
Chanzo: Star Tv Habari
NEC imesema chama ni ruhusa kumnadi mgombea wake akiwa katika kata anayogombea na ni marufuku kufanya kampeni katika Kata isiyohusika hata kama ni jirani.
NEC imesema katika chama hakitaruhisiwa kuzungumza mambo yaliyonje na kampeni
Chanzo: Star Tv Habari