Mume anahitajika 36+

Dada kua makini,
Huu Uzi Umejaa Wazee wa "Hit/Eat and Run" wa kutosha tu.
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Weka picha yako kwanza matangazo bila picha hainogi
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Wanaume wanywa pombe ndo wanakufaa wewe mama wawili maana wao hawana hiyana wala hawajali suala la kuwa wanaowalea ni wa nani.

Pia ndio watafutaji wazuri wa pesa kuliko hao wasiokunywa wameridhika halafu ni malaya wengi wao
 
Wanaume wanywa pombe ndo wanakufaa wewe mama wawili maana wao hawana hiyana wala hawajali suala la kuwa wanaowalea ni wa nani.

Pia ndio watafutaji wazuri wa pesa kuliko hao wasiokunywa wameridhika halafu ni malaya wengi wao
Asante kwa ushauri,ntaufanyia kazi
 
Duhh me Nina miaka 24 ...naona ss mashabab tushatengwa Ila tunajua kupenda ....nielekeze uko pm nikipata mda nikufuate nikulilie
 
Watoto siyo ajabu nakuombea upate itaji la moyo wako mpendwa Mungu anajibu maombi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom