- Thread starter
- #241
Asante RahabuKwanini mtu anaejiunga tuu Jf huanza na mume au mke anahitajika kwani wanakujaga kutafuta wa chumba humu
Asante RahabuKwanini mtu anaejiunga tuu Jf huanza na mume au mke anahitajika kwani wanakujaga kutafuta wa chumba humu
Ndivyo uonavyo weweSasa unaweka masharti ya kutokunywa pombe! Hapo unataka mume,au poyoyo!!?
Weka picha yako kwanza matangazo bila picha hainogiHabari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Na wanywaji pia katukosaWavuta sigara tushakosa mke
Wanaume wanywa pombe ndo wanakufaa wewe mama wawili maana wao hawana hiyana wala hawajali suala la kuwa wanaowalea ni wa nani.Habari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Naelewa baba,,asante kwa kunikumbusha hiloDada kua makini,
Huu Uzi Umejaa Wazee wa "Hit/Eat and Run" wa kutosha tu.
Asante kwa ushauri,ntaufanyia kaziWanaume wanywa pombe ndo wanakufaa wewe mama wawili maana wao hawana hiyana wala hawajali suala la kuwa wanaowalea ni wa nani.
Pia ndio watafutaji wazuri wa pesa kuliko hao wasiokunywa wameridhika halafu ni malaya wengi wao
Akijibu unitag na mmChura IPO
Juventus Turin ashawahi kuanzaga ligi akiwa na Points NegativeUmeona wapi mechi ikaanza na 2-0
Asante dearWatoto siyo ajabu nakuombea upate itaji la moyo wako mpendwa Mungu anajibu maombi.