waaminifu wawili hukutanishwa na muNgu.lakini tukio hilo hufayika mara7 kila baada ya miaka 50.muombe mungu kwan mkweli haNa muoekano unao utarajia kuuona...!
duu....!! Ubantu na sifa zake upo katika kilevi cha mauti.wazungu weusi bado tunaihujumu africa.big up nigeria,ghana na home kwa muswati tuombeen dua kwan platectonic imebadili hali yetu ya hewa na utamadun mana kila destur ni uchawi.hata kama mim ni mnj bado ni muafrica..!!
pole saaana!! Nikawaida tu,ila jaribu tena usikate tamaa kwan kauli haibebi moyo wote ila ni saut tu kutoka kooni pia yawezekana kuwa ndio styl yake ktk kumeasure so tumia kipindi cha pili kujibu mashambulizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.