Can you do it

Can you do it

nipo radhi kumuhudumia mpenzi wangu bila kutegema malipo,tatizo mwanaume mwenye pesa au akija kupata pesa an dharau sana na anona unahitaji kutumia pesa zake which is not true mambo kama hayo yapo lakini sio katika kila mtu wengine huwa na upendo wa dhati mimi natamanigi kumpata mtu nianze nae chini ila basi tuqe wanaume wenye maisha flani mnakuaga na dharau sana
 
nipo radhi kumuhudumia mpenzi wangu bila kutegema malipo,tatizo mwanaume mwenye pesa au akija kupata pesa an dharau sana na anona unahitaji kutumia pesa zake which is not true mambo kama hayo yapo lakini sio katika kila mtu wengine huwa na upendo wa dhati mimi natamanigi kumpata mtu nianze nae chini ila basi tuqe wanaume wenye maisha flani mnakuaga na dharau sana

waaminifu wawili hukutanishwa na muNgu.lakini tukio hilo hufayika mara7 kila baada ya miaka 50.muombe mungu kwan mkweli haNa muoekano unao utarajia kuuona...!
 
wanaume wa siku hizi ni majanga me wa kwangu tumeanza kujenga maisha vzr alivyonunua tu gari nilikuwa namuona sasa mda wote anazunguka na watt wazuri kwenyw gari full bata me tena tuliyekuwa tunashauriana nikapitwa na fassion. jamani achene tu...
 
wanaume wa siku hizi ni majanga me wa kwangu tumeanza kujenga maisha vzr alivyonunua tu gari nilikuwa namuona sasa mda wote anazunguka na watt wazuri kwenyw gari full bata me tena tuliyekuwa tunashauriana nikapitwa na fassion. jamani achene tu...

Pole mpenz, I can understand how you feel coz I know how it hurts!
 
but wanawake wa siku hizi wanaweza oa mwanaume asie na kazi?
 
Back
Top Bottom