Ww unaetaka lockdown ndio utakua wa kwanza kulalamika mshahara haujaingizwa, kumbuka serikali haitengenez pesa inategemea Kodi zetu cc wananchi hususan wafanya biashara ,ambao ili tupate pesa lazma tutoke,Sasa cjui umekula maharage ya wapi mpaka unashadadia lock down ngoja hako kamshahara kastop...
Toa hofu ndugu Mimi nilikua natumia dawa za hepatitis b yaani truvada (arv) nilitumia miez 18 baadae hi hospital ya hapa mkoani kwetu wakanambia hawatoi dawa Tena niende nikachukue muhimbili,Basi nikaenda kwa doctor ili aniandikie transfer ya muhimbili ,yule doctor akanambia ndugu yangu...
Wewe sababu una kaajira ndo Mana unashadadia lock down,ss ambao hatuli mpaka tutoke hujatufkiria kwenye hio lock down yako,Sasa ukifunga mtaa ni Yale Yale tu kama hatutakufa kwa Corona njaa vp itatuacha, think more jombaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika dini ya uislamu muziki ni haram, na Mzee Yusuf alipoenda hijja na kurudi alitangaza kuacha mziki na alianza kutangaza dini na mashehe alizunguka mikoa mingi kutangaza kuwa kamrudia Mungu.
Hivi karibuni inasemekana mfalme anataka kurud jahazini hivi ni kwamba alikurupuka au alijua...
Kuna wakat nilipitia Hali Kama yako ila nilipambana nikavumilia Leo mungu amenifungulia njia sitamani kufa Tena ili Nile matunda ya juhudi yangu,so pambana no life is problem free,cc tukieleza ya kwetu utajiona huna tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.