Recent content by MULUGU

  1. MULUGU

    Serikali ifuatilie Ajira za NBS -Wadadisi Takwimu

    Juzi nimepokea taarifa za majonzi na masikitiko kutoka kwa Vijana wangu hapa Mbeya, kwa kweli kuna haja ya Serikali yetu sasa kufuatilia kwa makini mchakato wa kupata Wadadisi Mapato na Matumizi -Kaya binafsi. Mchakato huu (hasa kwa Mikoani) umeendeshwa kwa hila na ujanja ujanja mwingi, kiasi...
  2. MULUGU

    Ha ha haaaaaa ni Mulugo tena!

    kama una maswali nenda ofisi husika utapata majibu. mtu makini huwezi kua na mdahalo na watu fake
  3. MULUGU

    Ha ha haaaaaa ni Mulugo tena!

    unasikia bwana mdogo, huwezi kumuondoa mtendaji muhimu wa serikali kwa hoja zisizo na mashiko! hayo ni maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa, tena kutoka kwa watu wasio na responsibilities zozote katika jamii zao. labda ningewashauri tu, mjaribu kutumia muda wenu vizuri ili Taifa liondokane na...
  4. MULUGU

    Walimu wa sekondary tunamitihani

    upo shule gani na mkoa gani ndugu aristle, kama hautojali?
  5. MULUGU

    Miaka 2 iliyosalia ya J. Kikwete ni mingi sana, kuliko miaka 8 iliyopita

    wewe domy hivi una matatizo gani lakini? wenzako wanajadili event, wewe unajadili mtu
  6. MULUGU

    Philip Mulugo, naibu waziri wa elimu wa Tanzania anasubiri nini ofisini?

    ndugu zangu hivi kweli hatuna majukumu ya kufanya? mbona basi tunatumia vibaya kodi za wananchi wetu bila huruma, kwa kujadili watu kutwa nzima? mijadala ya namna hii haipaswi kupewa nafasi jamani, mods please, hawa watu wakiruhusiwa kuendelea hivi, watasababisha uvunjifu wa amani yetu.
  7. MULUGU

    ASKOFU: Mawaziri wengi hapa Tanzania ni waziba nafasi

    ni haki yake kikatiba. kila mtu anaruhusiwa na katiba yetu kuwa na maoni yake, na kuyawasilisha pasipo uvunjifu wa amani yetu. askofu kama watanzania wengine anayo haki hiyo.
  8. MULUGU

    Watanzania- hii habari ni ya kweli ama imechakachuliwa?

    jamani kwanini mnakuwa negative hivi na serikali yenu tukufu? wewe tuma huo wasifu wako halafu iachie mamlaka ifanye kazi yake. acheni kuishi kwa hisia ndugu zanguni.
  9. MULUGU

    Phillip Mulugo ajibu tuhuma za kuchakachua

    Ndugu zangu watanzania hakuna ukweli wowote juu ya hizi tuhuma. Haya mambo yanaongelewa kiushabiki na kuchafuana kisiasa tu. Labda niwakumbushe tu kwamba, tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu hapo 2015, kuna mengi yata semwa hapa lakini hizi ndio siasa zetu, na siku zote mti wenye matunda ndio...
  10. MULUGU

    From Dar to Goma: How I met, and had lunch with rebels

    Hongereni vijana. Kazi nzuri.
  11. MULUGU

    maisha na tabu za watanzania vina sababishwa nanini

    Nadhani ni suala la kimtazamo tu. Tukifanikiwa kurejea uzalendo kwa Taifa, kujituma kwa bidii na kujielimisha kwa mambo mbalimbali, tutasonga mbele. Kuna fursa tele Tanzania hii.
  12. MULUGU

    "Nimezawadiwa Bikra Mwaka Mpya 2013"

    Hivi ninyi ni muda gani mnao utumia kujadili mambo ya kukuza uchumi wa nchi hii?
  13. MULUGU

    Wachina na bongo yetu!!!!

    na hili nalo mnailaumu serikali kweli?
  14. MULUGU

    Haya sasa mishahara yenu tayari

    ndugu hapo kuna shida (kama hilo jambo lipo kweli), nchi hii ni kubwa sidhani kama taarifa zisingekua zimefika sehemu husika, unless ni majungu tu
  15. MULUGU

    Haya sasa mishahara yenu tayari

    jaribu kutumia busara kidogo. wakati mwingine uwe unaishughulisha akili yako basi
Back
Top Bottom