Recent content by mulmul

  1. mulmul

    Natafuta Brevis A250, kwa 8mil

    Brevis A 250 namba CGC kwa 7.5 mil kama mtu yupo serious pm
  2. mulmul

    Sijui kukata kiuno kumridhisha mume wangu

    Kiuno sio kumpagawisha mwanaume. Unatakiwa kua mbunifu wewe mwenyewe ... Kama mwanamke unafanya mautundu yako kitandani style 3 kwenda mbele sio mwanzo mwisho mtu mmekaa style moja hio hio. Pia fanya kegels ukiwa unasex nae..... Hio kitu balaa Pia tafuta mafuta ya mchai chai umpe massage ya...
  3. mulmul

    Sijui kukata kiuno kumridhisha mume wangu

    Asante hii muhimu kujaribu
  4. mulmul

    Sijui kukata kiuno kumridhisha mume wangu

    Do kegels na nawia maji ya baridi sana
  5. mulmul

    Aliiba funguo akaendesha gari, sasa karudisha anashindwa kuchomoa funguo

    Aache kwanza kama two minutes hivi halafu ajaribu tena kuzungusha stirring huku anapeleka funguo kwenye lock
  6. mulmul

    Ndoa yangu ipo mashakani nisaidieni

    Kama unatumia vidonge vya majira achaaa
  7. mulmul

    Utapikaje maini yasiwe magumu

    Weka maini kwenye frying pan ilio na mafuta kiasi maini yakiwa mabichi pamoja na vitunguu saum na tangawizi ya kutwanga kiasi na chumvi plus vitunguu maji kanga mpaka yaanze kuiva weka hoho na ndimu kiasi endelea mpk yaive kabisa it will take u just 10 to 15 min.
  8. mulmul

    2002 toyota spacio new model inauzwa

    Na bei ya Toyota runx na allex ngapi saivi?
  9. mulmul

    Msaada pls

    Ok will do that
  10. mulmul

    Gari ya SPACIO

    I have raum year 2001 in good condition if interested pm
  11. mulmul

    Msaada pls

    Nimemwachisha mtoto wangu kunyonya kifuani sasa maziwa yamevimba sana na yanauma , naomba msaada kwa anaejua dawa ya kuweza kukausha maziwa.
  12. mulmul

    Baada ya FBI kutua nchini, sasa Redio Imani wakimbia kivuli chao, wahubiri amani

    Rome is hell kwa taarifa yako mtanzania usielewa chochote, maana padri aliyeruhusu mashoga marekani ndiyo anatakiwa na wa marekani aongoze rome yako!
Back
Top Bottom