FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
I believe so.., y u ax?Hivi hili jina la Passo, Vits, raum, spacio etc hua ni official name?
I believe so.., y u ax?Hivi hili jina la Passo, Vits, raum, spacio etc hua ni official name?
hata bajaji siku hizi ziko zenyehivyo ndani, usidanganywe na mapambo. Brevis ni cc 2500 mpaka 3000, na kwa jiji kama la Dar ni jini lisilosemeka. Linakosa sifa zote za 3E. Ndo maana nakwambia watanitafuta tu. Wengi wenye nayo ni wateja wa Magufuli.muwe mnaona na aibu..
![]()
It is just a matter of time, nyingi zimepakiwa baada ya magufuli kuwachomoa kwenye madili. Am Serious.
Watakuja tu. Ngoja Benk na Baba mwenye nyumba waanza kudai chao. Wenyewe watanitafuta. No shaka, Cash is King..
Zipo kibao. Is just a matter of time.
Passo sasa hivi za mkononi zenye nmba D hazizidi 4mil. Ukiuziwa zaid ya hapo umepigwa
hata bajaji siku hizi ziko zenyehivyo ndani, usidanganywe na mapambo. Brevis ni cc 2500 mpaka 3000, na kwa jiji kama la Dar ni jini lisilosemeka. Linakosa sifa zote za 3E. Ndo maana nakwambia watanitafuta tu. Wengi wenye nayo ni wateja wa Magufuli.
Ukikosa hela ni taabu sana mkubwa! Wakuja ndivyo walivyo.HAKUNA Mnunuzi Hapo!! MTEJA Wenyewe Nyodo Kibao, Huku Pesa Yenyewe Ni Ya Mawazo!!! BEI Ya Million 8 Na Conditions Hizo, Labda Aende Showroom Tu!!! Au Aagize Wenyewe Toka Japan!!
Ni ofisho kaka,ndio brand ya gari,toyota.... unaweka na hilo jina mbele.Hivi hili jina la Passo, Vits, raum, spacio etc hua ni official name?
Nimeichukua hiyo "cash is king "Watakuja tu. Ngoja Benk na Baba mwenye nyumba waanza kudai chao. Wenyewe watanitafuta. No shaka, Cash is King..