Mkuu mbona nimeandika issue ya randomness katika shortlisting na moja ya concern yangu. By the way najaribu kushade light kwenye mapungufu na sio kulalamika, maana siguswi moja kwa moja na interview yoyote ya sekretariat ya ajira.
Kaimu Katibu ma Secretariat ya Ajira.
Siku za hivi karibuni kumekuwa na manung’uniko ya watu wanaofanya usaili wa mchujo jinsi secretarit inavyosimamia usaili huo.
Kwanza, kumekuwa na mlolongo wa dalili za kuvuja kwa mitihani ya mchujo kitu ambacho kimepelekea mitahani inayooonekana kuwa na...
Kuna utafiti umetangazwa Azam kwamba wanaume wa Iringa wanaongoza kwa kupigwa na wake zao....ila wakipiga hawatoi taarifa katika dawati jinsia ile kureport unyanyasaji huo....[emoji15] [emoji15]
MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA
TANGAZO KWA UMMA
MATUMIZI YA HELIKOPTA
MAENEO YA HADHARA NA MIKUSANYIKO YA WATU
UTANGULIZI
Tangazo hili linatolewa kwa lengo la kutoa mwongozo kwa watoa huduma za helikopta, marubani wake na umma kwa ujumla kuhusiana na hatua za kiusalama zinazopaswa...
Hiyo ni kabla ya ongezeko la mwaka huu kwa hiyo ilikuwa take home ni 814000 ila katika ongezeko inaonyesha imekuwa kama 1200000 ambapo take home ni kama 895000 hv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.