Nimeipenda hii, utakuta mfanyabiashara anaigiza faida ya zaidi ya sh 10m kwa mwezi analipa kodi ya 150000 au chin ya hapo. Ukiangalia upande mwingine, mfanyakazi wa kipato sawa na hcho analipa kodi ya zaidi ya sh 2.5m. Wiz wa kodi ndio unafanya wafanyabiashara kuogopa kutumia EFDs machines
Umemsoma mtoa mada?!
Kasema ingekua China au Korea...
Ila kwa vile nchi yetu ni yenye watu wasiojali uwepo wao mahali flani na kama usemavyo hakuna sheria za kuwabana ndio inatokea anashtuka na kuanza kupiga makofi au kusema ndioooooo bila ata kujua nini kimeongelewa.
ATO
1. Tell us about yourself?
2. Tax due dates?
3. Are there penalties if one fail to pay tax on due date?
4. Why people avoid to pay tax?
5. How to solve this problem?
6. Why do you want to work with us?
7. What are your strength?
Bei ya pembe imeshuka kutokana na bidhaa kuwa nyingi soko...
Hapo wanachofanya ni kupunguza supply ilikwamba bei ipande na kuongeza uvunaji ndovu...
Serikali ya SA wao ndio wapo sawa, karibu ya tani 100 walizozikamata wanataka waziingze sokoni ili kuongeza supply na kushusha bei. Bei ikishuku...
ni kweli kabisa, mie mwenyewe nimeitwa kwenye interview ya writen awamu ya pili bila ya kujuana na m2 yeyote iwe NBAA au TRA
Hii inaonyesha kuna fairnes
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.