Kuna mtu anaitwa Prince.. yuko tasaf as data entry alifanya hiyo interview ya oral.. tena ya ATO..
hivi hawajaita kweli hadi leo?? hee!!
Naomba uniambie writen inakuwajeTarehe 15dec mwaka jana kulifanyika Oral interview kurasini kwa nafasi mbalimbali zilizotolewa na TRA,,nilifanya usahili kwa nafasi ya customs,nahitaji kujua kwa anaefahamu kama TRA tayari wameshaita watu kazini.