Asante mkuu, hivi ugonjwa wa ngiri unatibika? Je kuna doctor ambaye ni mtaalamu wa ugonjwa huu nimtafute badala ya kuwa najaribu hapa na pale? Asante sana
Nina tatizo la tumbo kuunguruma na kukosa choo. Hili hunitokea kukiwa na baridi. Nikienda choo hutoka kama makamasi hivi. Naomba msaada wa kujuzwa huu ni ugonjwa gani na tiba ni nini.
Asante
wakuu, mimi na mkw wangu tumekuwa tukitafuta mtoto kwa mwaka wa pili sasa blila ya mafanikio. Tunafikiria kuonana na dactari atakaye tushauru nini cha kufanya pamoja na kutupima. Msaada wa jina la dactari na hospitali anapopatikana.
Nimekuwa nikisikia katika mijadala mbalimbali watu wakisema wanaJamii forum wamesema hivi ama vile, nikaona si vibaya nami nikijiunga na hawa great thinkers. NAOMBA KUKARIBISHWA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.