mujunimunu
Member
- Jan 27, 2011
- 10
- 1
wakuu, mimi na mkw wangu tumekuwa tukitafuta mtoto kwa mwaka wa pili sasa blila ya mafanikio. Tunafikiria kuonana na dactari atakaye tushauru nini cha kufanya pamoja na kutupima. Msaada wa jina la dactari na hospitali anapopatikana.