lli kuondoa mvutano unaendelea katika bunge la katiba napendekeza kura
zipigwe Mara mbili yaani kwa siri na uwazi na zitakazokuwa nyingi ndo zichukuliwe kama maamuzi sahihi. Nawasilisha kwa michango zaidi
Mbinguni vipi Mkuu... Kama marais wa nchi hizo wangekubaliana na maoni ya wananchi, vita isingewafika. Huoni kama amani ya nchi iko mikononi mwa watawala hawa?
Ndugu wana jamvi leo nalazimika kutoa rai kwa rais wangu mh. Dk. J Kikwete atuepushe na vita au fujo za kudumu pindi chama chake cha mapinduzi kitakapo ondolewa madarakani kwa ridhaa ya watanzania 2015. Natumia busara sana kumuomba jk kwani sina shaka na upande wa dk. W Slaa hasa ukizingatia...
Huyu Jamaa ananitafutia ban. Hawa watu waliolelewa kwa pesa za ufisadi wanashida mno, na kwa taarifa yako ------ ameiagiza TISS ifanye uchunguzi wa kina ili kubaini ndani ya CCM ni nani anakihujumu chama kwani uwezekano wa kushinda 2015 haupo tena. Tiss wamemjibu kuwa njia pekee so far ya CCM...
Leo ndo siku ya mnyukano kwa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya wilaya yetu ya Serengeti kwa CCM.
Yeyote mwenye kujua kinachoendelea hapo atujuze kupitia uzi huu. Zaidi tunaomba uchaguzi uwe wa amani na utulivu.
Wana bodi hamjambo?
Kwa wataalam waliopitia level hii ya FTC ninomba kujua kama mdogo wangu anaweza kupata chuo cha kuendelea na elimu juu kwani ana B moja ya mathematic, C tatu, D moja na F moja ya FTC in highway engineering kutoka D.I.T mwaka 2002. Alishindwa kusuppliment kutokana na...
Mkuu, umeanika hadi maini yameonekana. KUMBE ndo source ya kamchezo kote!!!!!!!!!!............ Haya bana Ngoja voda waziri kututengenezea voucher za tsh. 450.
Wanabodi hasa mliopitia FTC
Nina mdogo wangu ambaye alihitimu FTC pale DIT course ya highway engineering na akapata B moja, C tatu, D moja na F moja, ni muda kitambo tangu ahitimu na alishindwa kusuppliment kutokana kupitiliza muda wa miaka 3 iliyokuwa inaruhusiwa kipindi hicho. Hiyo B ni ya...
Ni muda sasa tangu tumchague Dr. Kebwe kuwa mbunge wetu lakini sijui hadi sasa katufanyia nini cha kumkumbuka. Huyu bwana naona hata lugha ya kiswahili kajifunzia ukubwani. Kwa yoyote mwenye kuyajua mema yake kwetu atujuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.