Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

Ni pale mnyika alipotangaza vita dhidi ya sheria na kufanaya mazungumzo na wadau nchini kuhusu mafao ya wafanyakazi na kutaka kupe;leka muswada wa dharura bungeni hivyo serikali kutumia mbinu ili kuimeza hoja yake.
 
Kwa kweli leo nimeamini huyu mama huwa anatoa conclusion kinyume na matokea kabisa. dIngawa nimefurahi kuona sheria itapitiwa upya, ILA TO BE SINCERELY, waliosema HAPANA ni wengi kuliko waliosema NDIYO

Ni kweli hata mimi nimelisikia na kushuhudia kwa masikio yangu. Sijui imekaaje hii na ni nini lengo la hao waliopinga?.
 
Na Mh. Mnyika yeye atawasilisha marekebisho ya sheria ipi? CCM wajanja sana sheria wapitishe wenyewe kwa wingi bado warudi tena kuipinga kwa kuomba irekebishwe.
CCM kivipi tena? ninavyoelewa mimi hizi social security benefit scheme ni parastatal organisation zilizo chini ya kamati ya poac iliyopo chini ya MH zitto tena kwa ,maswala yanayohusu fedha na maslahi ya wastaafu mara kadhaa nimemsikia akisema mfano kwa NSSF, PPF, PSPF NA LAPF Kuwa hali ya mifuko hii ya mwisho miwili ni mbaya ukilinganisha na PSPF ambao hauna uwezo wa kuwahudumia wastaafu wake kwa madai kuwa michango mingi ya mwajili kwa maana ya serikali haipelekwi kwa wakati na kabla ya 1999 kuanzishwa kwa sheria mpya haikuwa inachangiwa na watumishi.
 
Kwa kweli leo nimeamini huyu mama huwa anatoa conclusion kinyume na matokea kabisa. Ingawa nimefurahi kuona sheria itapitiwa upya, ILA TO BE SINCERELY, waliosema HAPANA ni wengi kuliko waliosema NDIYO

Mkuu Police, Kwa mara ya kwanza leo umetumia akili yako, hukugangamalia mtumbo wako kuwapendezesha ccm.
 
Sasa wakuu inaanza lini kujadiliwa na kurekebishwa?watuambie kabisa huu upuuzi wao hawataurudia kamwe!wafanyakazi wako radhi woote waache kazi kila mtu apewe chake akafie mbele
 
CCM kivipi tena? ninavyoelewa mimi hizi social security benefit scheme ni parastatal organisation zilizo chini ya kamati ya poac iliyopo chini ya MH zitto tena kwa ,maswala yanayohusu fedha na maslahi ya wastaafu mara kadhaa nimemsikia akisema mfano kwa NSSF, PPF, PSPF NA LAPF Kuwa hali ya mifuko hii ya mwisho miwili ni mbaya ukilinganisha na PSPF ambao hauna uwezo wa kuwahudumia wastaafu wake kwa madai kuwa michango mingi ya mwajili kwa maana ya serikali haipelekwi kwa wakati na kabla ya 1999 kuanzishwa kwa sheria mpya haikuwa inachangiwa na watumishi.

Mkuu Mbugi miswada hupelekwa Bungeni na Serikali na siyo kamati husika; baada ya majadiliano na kusomwa mara ya tatu mswada hupigiwa kura na kwa kuwa CCM ndio wengi sheria zote nzuri na mbovu zimepitishwa na CCM....hiyo ndiyo habari
 
Last edited by a moderator:
CCM kivipi tena? ninavyoelewa mimi hizi social security benefit scheme ni parastatal organisation zilizo chini ya kamati ya poac iliyopo chini ya MH zitto tena kwa ,maswala yanayohusu fedha na maslahi ya wastaafu mara kadhaa nimemsikia akisema mfano kwa NSSF, PPF, PSPF NA LAPF Kuwa hali ya mifuko hii ya mwisho miwili ni mbaya ukilinganisha na PSPF ambao hauna uwezo wa kuwahudumia wastaafu wake kwa madai kuwa michango mingi ya mwajili kwa maana ya serikali haipelekwi kwa wakati na kabla ya 1999 kuanzishwa kwa sheria mpya haikuwa inachangiwa na watumishi.

Pole sana ndugu. Kamati ya POAC haitungi sheria, kinachotunga sheria ni Bunge letu ambalo lina wabunge wengi wa ccm. Hawa huunga mkono kwa 200% (mfano Komba) kila muswada wa sheria uletwao mbele yao. Walipohojiwa walisema NDIYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO! Sasa upepo umevuma vibaya huko nje, wamekurupuka tena kurudia walichokisema Ndiyo ili sasa kiwe siyo. Naungana na Mh. Didas Masaburi aliyesema wabunge wengi wa huko wanatumia makalio kufikiria. Wangetumia vichwa, suala hili wasingelishadadia kabisa kwakuwa ni sawa na kujipaka nyesi lako mwenyewe. Ni sahihi kabisa ukiwalinganisha na watoto tu.
 
Hawa wabunge wenye ushabikia kila kitu kwa itikadi wajui hiyo miiba wanayo itandaza wajue ikianza kuchoma haita chagua nani imuchome, kama haijawachoma wao basi wajukuu zao itawachoma tu. Nachukua muda kuamini kama sheria kama zinatungwa na watu wenye akili timamu. Watunga sheria hizi kandamizi hawana tofauti makaburu.
 
Sasa wakuu inaanza lini kujadiliwa na kurekebishwa?watuambie kabisa huu upuuzi wao hawataurudia kamwe!wafanyakazi wako radhi woote waache kazi kila mtu apewe chake akafie mbele

Mimi nilikua nishajiandaa kuacha kabisa niwakomoe kama nilivyowakomoa BAYPOT.
:cool::cool:
 
Bora hivi hivi ipelekwe na magamba watasapotiana,angepeleka gwanda angeshindwa,wanaleta utani na pesa zetu
 
Kwanza mimi kama mfanyakazi nampongeza Jafo Suleman kwa hatua alizochukua kutusemea. Lakini nalaani chama chake kutuingiza mjini halafu wanakuja kwa mlango wa Nyuma kurekebisha mambo baada ya kuona maji marefu.
Pili, Jafo amepata jukwaa kutokna na move ya Mnyika, lengo ni kumnyang'anya hoja mnyika kwa faida ya wafanyakazi mwisho wa siku. Hongera Mnyika.
 
Back
Top Bottom