Recent content by Muigai Jr

  1. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Mwanaume atakaeoa mwanamke asie na bikra, hana akili timamu anaoa mke wa watu huku akijiingiza kwenye dimbwi la matatizo...pumbavu zake huyo mwanaume
  2. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    'Mpe ajira'ili aache kuwananga ,,ila kaandika ukweli mtupu...km mwanamke amepoteza bikra yake kizembe hana haja ya kupigiwa matarumbeta huyo ni wa kuvuta na kuishi nae tuu kihuni km alivyofanya uhuni wake na kuipoteza bikra kizembe
  3. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku: Upinzani usimame kwenye heshima, Tumuamini Rais

    Mzee kageizwa ndomu ya MSD aka Msaada
  4. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Hivi bado kuna wezi wa kutumia fatuma?? Nilijua Jen z wame advance hata kwenye kuiba.
  5. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Kutaka bikra kwa mwanamke utakayemuoa ni Haki yako kama mwanaume.

    Bikra ni lazima kwa mwanaume mwenye akili,,,huyo ambaye hana bilkrq akamtafute aliemtoa
  6. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Ukifuatilia suala la crude oil refinery ya Tanga- utaonatatizo kubwa la washabik na wanachama wa upinzani na CCM wanapenda sana vyama vyao kuliko nchi

    Kubwa saaana,,huu ni ushindi wa kimkakati...na zaidi nimshukuru Mzee wetu M7,nafikiri yeye ndo mchezaji wa hili
  7. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Ukifuatilia suala la crude oil refinery ya Tanga- utaonatatizo kubwa la washabik na wanachama wa upinzani na CCM wanapenda sana vyama vyao kuliko nchi

    Pamoja na mapungufu makubwa ya kiutendaji ya huyu mama,,,kwa hili alilofanya la refinery Tanga,,HAKIKA ninampa PONGEZI.
  8. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Nchi ya wenye akili nyingi,,viva PK ,viva!
  9. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Hatukumlinda Polepole sasa tumlinde Yuda

    Mimi niko EN ,ni lazima tumlinde whatever ze kesi
  10. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    September eleven
  11. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Mtu ana umaskini wa kutosha, familia inakula dagaa, mavazi ya mtumba lakini ànasomesha mtoto shule ya kulipia

    Kuna huyu singo maza ,anasumbuka kweli kweli kut* mbesher ili tuu alike ada..ukimshauri anaona km vile unamuonea wivu.
  12. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Km anatumia dawa /sindano za uzazi wa mpango mwambie aache kwanza
Back
Top Bottom