😀😀😀
Mkuu umepitia uzi kimya kimya!,umenikumbusha mbali hakika.
Mzee Nduli yupo sana tuu,hana makali kabisa .
Natamani sana kupata muda mzuri ni pitamo kwenye uzi huu adhimu wa mzee rickboy .
Inaweza ikawa ni kweli ama sio kweli,,binafsi kwa uzoefu..nilitaka kuoa kwebye familia ya kibopa katika kuchunhusa kwanza 'binti kibopa katika out zetu alikuwa anakula kuku mzima yeye mwenyewe..na alikuwa mbinafsi saana..nikampiga chini...huyu wa sasa alitokea umaskinini ila nampenda kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.