Recent content by Muigai Jr

  1. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Taifa ni kuu kuliko Rais; Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu na Bunge ni kuu kuliko Spika. Uzalendo ni kulipenda taifa sio serikali..!

    Elimu ya uraia iliondolewa,ili serkali iwaaminishe watu yenyewe ndo taifa.
  2. Muigai Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Alaafu waanze kuwananga,singo maza ni mzigo
  3. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Huyu bro maysla ni mshamba tuu. Aachi kulilia teuzi
  4. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Tokea siku za karibuni huyu kenge mayaalla amekuwa akianza kuwapigia upatu mafisadi,,huenda amaelambishwa matako yenye mchanga wa dhahabu
  5. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Wasaidizi waliobaki kwenye system ni wale wenye kujua namna ya kuteka na kuf*ra tuu..maobo ya diplomasia wachieni nchi zenye kujua.
  6. Muigai Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Akina Mama na akina dada, dudu za wenza wenu zikigoma kusimama msiwadhihaki muwabembeleze

    Hata kwa wanyama,mwenye nguvu ndo anatawala/kula mzigo....peaa ni Nguvu ya mwanadam
  7. Muigai Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    😀😀😀 Mkuu umepitia uzi kimya kimya!,umenikumbusha mbali hakika. Mzee Nduli yupo sana tuu,hana makali kabisa . Natamani sana kupata muda mzuri ni pitamo kwenye uzi huu adhimu wa mzee rickboy .
  8. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawajilindi na UKIMWI kama ilivyo kwa Wanaume

    Hakika hakika,
  9. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Wengi Mnakosea Hapa!

    Umetisha kaka
  10. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Live on TBC: Ridhiwani Kikwete yuko live, anaongea kama Jakaya Kikwete. Like father like son, atatufaa sana in future baada ya zamu yetu!

    Mkuu acha hii mambo...mbona tumeanza kukupenda saana?? Achana na hizi bahasha za makuhadi wa taifa letu
  11. Muigai Jr

    JamiiForums Tanzania Haya mabango ya "Chagua Samia"yapo barabarani hadi leo, CCM wameendelea kulipia kuwapo kwake hadi leo kama inavyotakiwa?

    Wanapazimisha akae miyooni mwa watu..ni ngumu
  12. Muigai Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Moja ya sababu kubwa ya mahusiano kuvunjika ni wanaume kuwa na wanawake wanaotoka kwenye familia za kimasikini sana (Absolute poverty)

    Inaweza ikawa ni kweli ama sio kweli,,binafsi kwa uzoefu..nilitaka kuoa kwebye familia ya kibopa katika kuchunhusa kwanza 'binti kibopa katika out zetu alikuwa anakula kuku mzima yeye mwenyewe..na alikuwa mbinafsi saana..nikampiga chini...huyu wa sasa alitokea umaskinini ila nampenda kutokana na...
Back
Top Bottom