Recent content by muhuni

  1. M

    Vibration katika usukani

    Angalia tie rod ends,wheel alignment and balancing,steering box,reck ends (sina uhakika na spelling) na pia bushes zote za mikono ya hapo mbele. Tatizo hilo huwa linatokea Kati ya spidi 80 mpaka 120 ila ukizidisha linatulia.
  2. M

    Zitto Kabwe: Rais umeamua kuchagua upande wa wanaokupa taarifa za uongo na majungu, muda utasema

    Mimi ningekuwa Dk Titus Kamani jana ningejiuzulu uenyekiti wa CCM mkoa wa Simiyu. Alimdhalilisha sana.
  3. M

     Mbunge kahoji mbele Waziri Nchemba kwanini hapigiwi saluti na polisi?

    Wasio na akili watafikiri mbunge anataka kupigiwa saluti wakati anafikisha ujumbe kuwa wabunge wa upinzani hawapewi heshima inayostahili kwa hiyo hata wakienda kueleza matatizo ya wananchi hayapewi uzito haiitaji phd kujua hili.
  4. M

    Huyu James Mfugale anaetafutwa mitandaoni kafanyaje?

    Weka tangazo na sisi tulione
  5. M

    Ikiwa kubana matumizi ni kufuta posho kwa watumishi wa umma, futeni na posho za askari

    Watu wanaongea kama kasuku tu posho ambazo hazipo kisheria ni zipi si mzitaje??!
  6. M

    Kesi ya Lema: Upande wa Serikali wapinga Rufaa, arudishwa rumande

    Vyovyote ilivyo ni kuwa Lema hatendewi haki.
  7. M

    Kesi ya Lema: Upande wa Serikali wapinga Rufaa, arudishwa rumande

    Vyovyote ilivyo ni kuwa Lema hatendewi haki.
  8. M

    Kesi ya Lema: Upande wa Serikali wapinga Rufaa, arudishwa rumande

    Mtu anakurupuka anasema kwenye sheria hakuna longolongo............mbona siku ile ya kwanza hakimu alikuwa tayari kutoa dhamana akabadilika ndani ya dakika kumi??
  9. M

    Jina la Benki hii lipi?

    Hakuna kirefu so CRDB ndio jina la hiyo benki.
  10. M

    Draw ya leo kwa Yanga

    Watanzania tuna tabia ya kuwazoea watu....,,,. Tulimzoea tu Pluijm ndio maana tukaona uwezo wake umefikia mwisho....Ila babu ni bonge la kocha.
  11. M

    Yaliyojiri kutoka mahakamani kwenye kusikilizwa rufaa ya dhamana ya Mbunge Lema, akubaliwa ombi lake

    Hili suala la Lema kupewa dhamana liitimishwe linatia kichefuchefu, kesi hii inadhaminika.
  12. M

    CCM Wazungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Udini wa Lowassa na CHADEMA

    Nimesoma alichoandika Nape mpaka siamini kuwa ni katibu mwenezi wa chama kikubwa kama CCM. Jk kwa kusema kuwa wanawake wamepewa fursa kupitia Samia sio aina ya ubaguzi?? Rais hatotoka kaskazini je?? Hilo haliitaji kuandikiwa taarifa kwa vyombo vya habari?? Pia Lowassa hakusema kuwa wampe kura...
  13. M

    Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

    Hivi CCM wana lipi la kusema mpaka watu mbishane?? Tuanze kuulizana yafuatayo Kigoma imekuwa Dubai?? Meli zimeletwa?? Ambulance je?? Piga kura ya mabadiliko hata Lowassa akipanda jukwaani akakaa kimya. CCM hawana uwezo wa lolote.
  14. M

    Nape mbona unawadanganya wana ccm?

    Nape lazima atushawishi kwa hoja lakini sio ya Richmond!! Kwa kusema Lowassa ni fisadi Nape anaivua nguo serikali kwa kushindwa kumshughulikia. Pia atuelezee khs Ngeleja, Tibaijuka, Chenge, N.k pia atueleze sbb ya kubakia maskini kwa miaka yote. Atuambie pia mikakati yake ya kuanzisha CCJ...
  15. M

    Aliyekuwa mbunge wa Sikonge, Said Nkumba abwaga manyanga CCM na kujiunga CHADEMA

    Kura za CCM hazikuwa zinatoa picha sahihi za maamuzi ya wananchi kwa sababu kulikuwa na uchakachuzi wa hali ya juu!! Kuna baadhi ya majimbo jumla ya kura zinafika laki moja ila siku ya upigaji kura hata mistari haikuonekana.Kama kuna nafasi kwenye hilo jimbo apewe agombee anaweza kushinda na...
Back
Top Bottom