Ikiwa kubana matumizi ni kufuta posho kwa watumishi wa umma, futeni na posho za askari

Acha uongo serikali gani hiyo unayozungumza wewe,kwani hii nchi kuna vita? hakuna askali anaefanya kazi masaa mengi bila kulipwa huo ni uongo mkubwa,pili hawa askali wanashifti haya masaa wanayofanya mengi wanafanyia wapi? muda mwingi wako bar wanalewa tu jifunze kudanganya sio kwa hili utaumbuka.
Nina wasiwasi na elimu yako.Pia kama hujui kitu bora upite mbona sio lazima kuchangia kila uzi.
Pathetic, nani ana mnyonya nani? i dont get this, its serious misconception, you cant make a prosperous country by invoking austerity measures aimed at reducing salaries and fringe benefits of workers. Employment is simply selling your labour to an employer so its a willing buyer and seller. Huwezi kuingilia terms and conditions za watu wengine eti wawe sawa na wewe au wafanane. So sad i cannot imagine tuna watu kwenye nchi yetu wanafikiria mambo kijinga namna hii. KAMWE HATUWEZI KUENDELEA TUKIWA NA MENTALITY KAMA HIZI.

Hapo zamani nchi yetu ilikwisha taifisha mali za watu wengine kwa kusema ni wanyonyaji ili hali watu wale walitafuta mali kwa jasho lao. Leo tunakuja na mambo kama haya, tukimaliza wafanyakazi wa serikali tutaenda kwa wafanyabiashara na kuwataka wawe masikini kama watu wengine. Nakuambia haya mambo ni ya ajabu kabisa na yataturudisha nyuma kweli kweli.
 
Hapana, nikishaibiwa bajaji karibu kabisa na kituo cha polisi yaani wez wamevunja ukuta na kuingia ndani kisha wakaiba bajaj Mpya yaani INA mwaka mmoja tu , yaani eneo nililopo dogo sana kiutendaji kama kweli wangeamua kuipata hiyo bajaji lakin sijaona cha maaana walichofanya zaidi ya kuchukua kadi copies na Maelezo kisha fail unaweka pembeni , kesi yangu ni moja ya mamia ya kesi za kuibiwa vyombo vya moto hasa pikipik na bajaji sasa inteligensia gani ya kushindwa kuipata bajaji au pikipik mjini MTWARA ambapo kiutendaji padogo sana sana , wanakwenda kukaaa na kusubiri zamu iishe aje mwingine hadi asubhi kisha wewe unakuja hapa kusema eti wanafanya kazi kubwa ??? Hata ukifanya kazi masaa mia na ishirini kama ustawi wa kazi hiyo haupo ni ujinga nabhakuna maaana ya kudai posho au ongezeko la Mara kwa Mara kwenye mishahara yao
 
Pathetic, nani ana mnyonya nani? i dont get this, its serious misconception, you cant make a prosperous country by invoking austerity measures aimed at reducing salaries and fringe benefits of workers. Employment is simply selling your labour to an employer so its a willing buyer and seller. Huwezi kuingilia terms and conditions za watu wengine eti wawe sawa na wewe au wafanane. So sad i cannot imagine tuna watu kwenye nchi yetu wanafikiria mambo kijinga namna hii. KAMWE HATUWEZI KUENDELEA TUKIWA NA MENTALITY KAMA HIZI.

Hapo zamani nchi yetu ilikwisha taifisha mali za watu wengine kwa kusema ni wanyonyaji ili hali watu wale walitafuta mali kwa jasho lao. Leo tunakuja na mambo kama haya, tukimaliza wafanyakazi wa serikali tutaenda kwa wafanyabiashara na kuwataka wawe masikini kama watu wengine. Nakuambia haya mambo ni ya ajabu kabisa na yataturudisha nyuma kweli kweli.

Hapo tutaelewana kama sio sahihi kwa viongozi basi sio sahihi hata kwa mtumishi wa chini mishahara ya watumishi wa chini ni midogo sana na bado wanabinywa kiasi hiki,Je? mkuu umewahi kujiuliza yule mhudumu anayekuandalia chai asubuhi ofisini kwako anaishije na kile kimshahara chake?
 
Majeshi na wataalamu kama madaktar , walimu n.k nani muhimu maaana kwenye nchi kama Tanzania mwanajeshi au askari polisi anaajikiwa hadi anastafu bila hta kupigana vitu sasa posho za nini wanawapa ???#
Majambazi unapambana nao wewe?. Mkuu hii nchi inalindwa ndio maana unaona tulivu ila kama huamini jaribu kuleta vyokovyoko.
 
Posho za askari zipo kisheria...
Posho zilizo futwa ni ambazo haziko kisheria na kitaratibu.
Huwezi kufuta kitu ambacho hakipo! Hapa kuna kipimo cha akili pia! Kama hazikuwepo kisheria maana yake aliyezilipa na aliyezipokea wamevunja sheria: mbona hawachukuliwi hatua za kisheria na kinidhamu?! Hazikuwa kwenye bajeti?! Au ni nini maana yake?! Lililo wazi ni kwamba ni posho halali ila waziri mkuu aliamua kusema hayo ili kukwepa mjadala wa mgongano wa madaraka. Kwamba ni nani mwenye mamlaka ya kuifuta sheria inayotoa ama kuruhusu hizo posho?! Narudia tena kukwambia huwezi kufuta kitu ambacho hakipo!
 
Nina wasiwasi na elimu yako.Pia kama hujui kitu bora upite mbona sio lazima kuchangia kila uzi.
Elimu sio kigezo cha kunipofusha macho,tuko nao mtaani masaa yote,wewe kama unafikiri unaweza kupewa UDC kwa kuwatetea hao askari endelea huenda Magu atakuona.!!!!
 
Acha fitina wewe.
Unajua askari anafanya kazi usiku na mchana na halipwi malipo ya masaa ya ziada?
Ndo majukumu yao mkuu hata madaktar wapo wanaofanya kazi ucku... Ko kila mtu anafanya kaz kulingana na jukumu la kaz Lake... Na hakuna aliyelazimishwa kuwa ivo.Ndo maana hata wao wanaaply mafunzo
 
Hapo tutaelewana kama sio sahihi kwa viongozi basi sio sahihi hata kwa mtumishi wa chini mishahara ya watumishi wa chini ni midogo sana na bado wanabinywa kiasi hiki,Je? mkuu umewahi kujiuliza yule mhudumu anayekuandalia chai asubuhi ofisini kwako anaishije na kile kimshahara chake?
Kiongozi, mshahara na posho una uhusiano wa moja kwa moja na elimu ya mtu, uzoefu kazini na uhodari wake kazini. Kama hizo qualification and attributes umezielewa basi utajua ni kwanini mtu mmoja analipwa mshahara mkubwa na posho na mwingine halipwi. Kwenye uchumi wa kibepari haya mambo inabidi uyaelewe, hakuna usawa na usawa haupo. Binadamu hawajawahi kuwa sawa ata Mungu mwenyewe anajua hilo. Vitabu vyote vitakatifu vinatambua uwepo wa matajiri na masikini, watumwa na watwana sasa hiki kiherehere chetu cha kutafuta usawa kinatoka wapi?
 
Kuna usemi unasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hii kauli ya Mh Waziri mkuu kutaka kusiwepo na posho zozote kwa watumishi wa umma, je vipi kuhusu posho wanazopewa askari wetu wa majeshi nazo zimefutwa ikiwa hapana kwa kigezo kipi kilichotumika ikiwa wote ni watumishi iweje huyu awe na posho huyu anyimwe

Ikiwa suala la kufuta posho basi hilo suala liwe kwa wote isionekane kitu kina itwa posho kwa wafanyakazi wote ijukane moja

Tena wale wengine ndio balaa makambini uko nyumba zipo wazi kibao zina umeme mpaka maji lakini hawakai wapo mitiani wanalipwa posho ya pango la nyumba ikiwa nyumba zao zipo na hazina watu

Ikiwa ni kubana matumizi basi hizo posho zifuatwe vile vile posho ya hao watu ya kodi ya nyumba kila mwezi ifutwe waende kukaa makambini kwao kwani kambini nyumba zipo lakini hazikaliwi
 
Kama serikali ina lengo thabiti la kubana matumizi ya serikali Basi Ianze kuondoa kitu kinachoitwa stahili za viongozi maana hicho kinakula fedha nyingi zaidi kuliko posho hizo zinazosemwa kwa juujuu wakiondoa hicho kitu hapo kweli serikali itakuwa imedhamiria kubana matumizi na watakuwa wazalendo haswa kwa kuwa hiki kitu kinahusu maslahi ya viongozi wote wa umma
Hiwezekani tukulipe mshahara mnono,tukulipie maji,nyumba,umeme simu,tukununulie samani za ndani,tukupe gari ya kukupeleka na kukurudisha kazini,tukulipie walinzi wakulinde nyumbani kwako jamani magufuli hii yote ni burden kwa watanzania wewe wape hiyo mishahahara minono usafiri na ulinzi basi mengine wayafanye kwa mishahara yao maana hata watumishi wa chini wenye vimishahara mikia ya mbuzi wanatumia mishahara yao kufanya mambo hayo.
Point
 
Kuna usemi unasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hii kauli ya Mh Waziri mkuu kutaka kusiwepo na posho zozote kwa watumishi wa umma, je vipi kuhusu posho wanazopewa askari wetu wa majeshi nazo zimefutwa ikiwa hapana kwa kigezo kipi kilichotumika ikiwa wote ni watumishi iweje huyu awe na posho huyu anyimwe

Ikiwa suala la kufuta posho basi hilo suala liwe kwa wote isionekane kitu kina itwa posho kwa wafanyakazi wote ijukane moja

Tena wale wengine ndio balaa makambini uko nyumba zipo wazi kibao zina umeme mpaka maji lakini hawakai wapo mitiani wanalipwa posho ya pango la nyumba ikiwa nyumba zao zipo na hazina watu

Ikiwa ni kubana matumizi basi hizo posho zifuatwe vile vile posho ya hao watu ya kodi ya nyumba kila mwezi ifutwe waende kukaa makambini kwao kwani kambini nyumba zipo lakini hazikaliwi
Kambi ipi nyumba zipo wazi,usilete uongo kwenye masuala ya msingi ili kujipatia kiki ya kisiasa.
Mwanajeshi aliewiva kukaa uraiani ni mateso kwa sababu watu hawana nidhamu,wachafu n.k
Lete picha tuone nyumba tupu huko makambini
 
Askari hawaezi kuondolewa posho na watazidi kuongezewa kwa sababu!! Wakati we unazungusha kiuno kama propela ye yupo nje anaimalisha ulinzi....anaacha familia yake usiku siku za sikukuu anaenda kuhakikisha usalama Wa watu wengine......labda ungesema wabunge....
 
Back
Top Bottom