Zipo! ila uwezo wa hizo zana si wa kuamini sana(zimetiwa chumvi mno) maana warusi ni mabingwa wa propaganda hata hawa pro-russia wanatambua hilo japo hawawezi kukiri.
Umeikimbia baridi ya Toronto? Karibu tena Africa mkuu na kuhusu hao vijana acha waote mapembe maana ndo muda wao huo. Ila wakumbuke kuna maisha nje ya uongozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.