barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
- Thread starter
- #21
Muasisi wa siasa za chuki, visasi, ubaguzi na ukatili nchi hii anajulikana na adhabu yake kwa Mungu huyu wa malipizi imeandikwa kwa moto! Wanachokosea hawa vijana ni kumuiga tembo kunya, huko waendako watalia na kusaga meno hiki kipindi cha mpito kikimalizika, sijui watajificha wapi! Gambo amebadilika sana, ameyaona maisha katika mwanga bora, ni muungwana sana siku hizi, tumwache Hapi achezee wanyalukolo atakiona cha moto!
Ni kweli...Gambo kwa sasa anajitahidi,lkn pengine anaendelea ila kwa tahadhari ya kutokuonekana kwenye vyombo vya habariMuasisi wa siasa za chuki, visasi, ubaguzi na ukatili nchi hii anajulikana na adhabu yake kwa Mungu huyu wa malipizi imeandikwa kwa moto! Wanachokosea hawa vijana ni kumuiga tembo kunya, huko waendako watalia na kusaga meno hiki kipindi cha mpito kikimalizika, sijui watajificha wapi! Gambo amebadilika sana, ameyaona maisha katika mwanga bora, ni muungwana sana siku hizi, tumwache Hapi achezee wanyalukolo atakiona cha moto!