Recent content by muhidini rweyemamu

  1. muhidini rweyemamu

    TIGO RUSHA ACCESS

    Ha ha ha haaaa
  2. muhidini rweyemamu

    TIGO RUSHA ACCESS

    Wanajanvi kwa yeyote anayehitaji kuunganishwa na huduma ya kuuza vifurushi na muda WA maongezi WA TIGO. Vifurushi + Salio, unaweza kunicheki kupitia hapa 0674565640, 0758125896. Huduma ni bure, na kwa wale wanaohitaji access ya kusajili line za TIGO.
  3. muhidini rweyemamu

    Uhusiano wa madishi na Ving'amuzi vyake

    NDO HAWA WATAALAM WAMWAGE MAMBO YAO
  4. muhidini rweyemamu

    Uhusiano wa madishi na Ving'amuzi vyake

    Samahani wadau naomba kuuliza je dikoda za antena za startimes zinaweza kufanya kazi na madishi ya zuku. tafadhali mchango wako ni muhimu.
  5. muhidini rweyemamu

    Naomba ushauri juu ya Internet ya Halotel na Vodacom

    Binafsi natumia halotel iko poa sana
  6. muhidini rweyemamu

    ITV kituo kitafungwa au mtaingiza Nchi katika machafuko

    sitapenda kuandika mengi hila fuatilien polisi wa tz na nchi nyingine utana tofauti. Uganda au Kenya ukileta jeuri inakula kwako, sisi hapa 2naishi nao vzuri ukilinganisha ni nchi nyingne.
  7. muhidini rweyemamu

    Eti tendo la ndoa ni lazima ndani ya saa 24 baada ya Kutoka Kanisani

    Mie huwa naskia eti demu yeyote kamu mliwahi kusex alafu mkaachana, hila ikatokea mkakutana ukimuhitaji inakuwa simple kumpata kuliko ulipokutana nae kwa mara ya kwanza.
  8. muhidini rweyemamu

    Mwanafunzi aamua kujinyonga kwa kukosa huduma hospitalini

    Unajua hapa kuna watu wanatakiwa wawajibike kwa kitendo hiki,mfano kama daktari na manesi wote waliokuwa zamu ili uzembe huu ucjirudie na jambo hili lilitakiwa kufanyka hadharan na kuutangazia umma kuhusu hatua zilizochukuliwa bila kujadiliana au kuunda tume ya uchunguzi ili iwe fundisho kwa...
  9. muhidini rweyemamu

    Mechi ya Ufunguzi wa VPL 2014/15 Yanga SC vs AZAM FC

    ni dk 56 jajaaaa Yanga 1 azam 0 dk 68 mpira mkali sana.
  10. muhidini rweyemamu

    Mechi ya Ufunguzi wa VPL 2014/15 Yanga SC vs AZAM FC

    kwakweli mpira ni mzuri sana na wote wanashambuliana kwa zamu switch on channel ten.
  11. muhidini rweyemamu

    Mechi ya Ufunguzi wa VPL 2014/15 Yanga SC vs AZAM FC

    Haa haaaaa! Yanga wanapenda wazungu mi namkumbka kipa wao mzungu, chezea yanga na wazungu, Kwa kawaida Maxcmo atajenga timu icheze vzuri hila tatizo nahisi itakuwa ni umaliziaji kama kipindi yupo starz, timu inacheza vizuri lakn haifungi, ninachohisi ni kuwa atafanywa kama Moyes, ndo maana...
  12. muhidini rweyemamu

    Mechi ya Ufunguzi wa VPL 2014/15 Yanga SC vs AZAM FC

    Haa haaaaa! Yanga wanapenda wazungu mi namkumbka kipa wao mzungu, chezea yanga na wazungu, Kwa kawaida Maxcmo atajenga timu icheze vzuri hila tatizo nahisi itakuwa ni umaliziaji kama kipindi yupo starz, timu inacheza vizuri lakn haifungi, ninachohisi ni kuwa atafanywa kama Moyes, ndo maana...
  13. muhidini rweyemamu

    Sony experia z mpya inauzwa

    atach picha yake tuione.
Back
Top Bottom