Recent content by Muha wa kweli

  1. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Usiku ukiwa mwema kwakweli ni mhimu kulala, spelling mistake shoga zake instead of zangu.
  2. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Niaje wakuu? Nimekaa hapa nikiwa nimeshika simu yangu mkononi, huku nikitazama screen na kushusha pumzi ndefu. Kila nikikumbuka ujumbe wa makato ya miamala na madeni niliyoyaingiza wiki chache zilizopita, nasikia maumivu mapya kabisa moyoni. Siyo kwamba nina matatizo ya kiuchumi ya kuzaliwa...
  3. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Onyo: Usimwoe mwanamke anayejipost mitandaoni

    Huyu yawezekana akawa ni mhanga wa hii mambo, kwakua limemfika kaona hata lisimwache kinyonge ngoja nae apate kipozeo "Ma “onyo” yamekuwa mengi sana siku hizi. Mtu akiamka akashiba zake kiporo ule muda wa kusinzia anautumia kutunga “onyo” lake…."
  4. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Dada ni mzuri, amesoma ana degree. Ila hana akili

    Amefanikiwa tu kupata shape na sura nzuri of course mtamu pia ila kichwani hamna kitu. Tajili apo niKwisha habari yko
  5. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Nimekuta SMS za jirani kwenye simu ya mke wangu

    Kwan huyu ndio mkeo
  6. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Unakuta pimbi kama huyu ni waziri wa wizara fulani.

    Noma sana
  7. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania NI NJIA GANI BORA YA KUTOA FEDHA KUTOKA META (Facebook).

    Ngoja Waje wenye uzoefu kwenye hili
  8. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Malezi ya wazazi wangu yameniathiri vibaya sana

    Kajichangaye mkuu,ila katika harakati za kutafuta kujichanganya kwako angalia na izo groups usije jikuta umeangukia majani
  9. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Profile name tu na ujumbe wako ndo kwanza nimeachwa hoi
  10. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Ukikuta Mwanao wa kike Darasa la 6 anaangalia Ngono, unapaswa kufanyaje kumsaidia?

    😁Ameshaelewa bana inatosha
  11. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Naombeni jina la wimbo huu na aliyeimba

    Mbna yanasikika makelele tu, sauti ya mwimbaji sipati tu
  12. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Computer Laptop HP PRO-BOOK 450 G4 inauzwa bei sawa na bure

    Mbna Bei Kali ivo Kwan ni mpya
  13. Muha wa kweli

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Kifahari Kwenye Magari ya Umma, Huku Familia Ikisugua Benchi

    😅 mkuu umetandika huu Uzi kwa hisia Kali sna, of course umetisha kwa ukwel😎🤏
Back
Top Bottom