Recent content by muha mwenye hasira

  1. muha mwenye hasira

    Kwa wakina kaka tu

    Above 25, yuko vizuri, ila huwezi kuoa age mate!
  2. muha mwenye hasira

    Wanawake wanakatazwa kuongea Kiswahili Mlimani City?

    Pumbaaaf hao! Mwambie ajieleze hata kwa dakika 5 kwa kiingereza, halaf uone atakavyo chemka. Hawana lolote la maana. mapompompo tu!
  3. muha mwenye hasira

    Wanasiasa wa Tabora siku zote tangu enzi za mwalimu wana matatizo

    Ndo maama mji unakua kwa kasi ya kinyonga.
  4. muha mwenye hasira

    Ni binamu yangu lakini nashindwa kumwelewa

    Alitaka kuliwa huyo, lakini kwa kua kishaolewa, achana na hizo mambo, utamwumiza mwanaume mwenzio,
  5. muha mwenye hasira

    Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

    Huu ndo ukweli. Wakubali, wakatae, watukane, hawawezi kubadili uhalisia kwani ni agizo kutoka kwa Mwenyezi. MUNGU
  6. muha mwenye hasira

    Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

    Jamani tuache ushabiki. Simuungi mkono kagame kwa asilimia zote. But he has a point. Kuna mismanagement kubwa ya resources zetu
Back
Top Bottom