makamanda nawatakieni mapambano mema, millya wafungue watanzania hasa kusini kutoka gizani ili wavue magamba na wavae gwanda M4C slogan ni noma sana ikulu hiyooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mfa maji haachi kutapatapa ccm kwa sasa kwisha habari yake mtabakia kuwa wapinzani 2015 ikulu inachuliwa na chadema, labda kama ni ya ccm na si ya watanzania
revolution= zambia
ndio muelewe kwamba mlimchagua popompo kabisa fanyeni mabadiliko
CDM ipo kwa ajili yenu walalahoi acheni kufurahia kofia,tisheti,na kanga amkeni
wenzenu huku Iringa ni maendeleo kwenda mbele na mbunge wetu anafanya mikutano kila kata kujua kero za watu na huyo ni jembe PETER MSIGWA
kamanda nakujua sana katika harakati za kupigana na mafisadi hawa wewe ni jembe la taifa la kutegemewa. wameru mpeni kura zenu aongeze nguvu za vijana wapiganaji kama tulivyofanya hapa iringa mjini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.