nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
Ina Maana CCM wakimuweka William Malecela na yoyote wa Chadema Mtera Chadema kitashida
Nilimuona Malecela kwenye East Africa Bungeni hawezi kujenga Hoja hata kidogo
Wasipokaa sawa atawatukana hata wanaomhoji kuhusu ahadi zake. Walinywe tu kwakuwa walilikoroga wenyewe kwa kapelo, khanga, chumvi na ubwabwa wa siku 1.
Ina Maana CCM wakimuweka William Malecela na yoyote wa Chadema Mtera Chadema kitashida
Nilimuona Malecela kwenye East Africa Bungeni hawezi kujenga Hoja hata kidogo
Wabunge wa CCM 30 = 1 CDM, sio huyo tu tuna wengi vilaza kwa kutaja wachache Nyambari Nyangine, Komba, Rage, Nkamia. Pia wabunge wa CUF 50= 1 CDM kwani huwa sioni wanafanya nini bungeni zaidi ya kulialia tu.
teh teh, Wabunge wa CUF bungen jumla wapo 32, hiyo hesabu yako umewanyonga kk!
kudadadek waliingia choo cha walimu.
kudadadeki walifikir alikuwa anasema kweli?
kudadadeki atawachana mchana kweupe.
kudadadeki ni yupi mliyemchagua akawaletea maendeleo tokea uhuru?
Tuwalambe tusiwalambe?...................................
Tuwalambe tusiwalambe?...................................