Penda msipende CHADEMA lazima ichukue nchi 2015

Penda msipende CHADEMA lazima ichukue nchi 2015

Mungu yupo pamoja nasi daima.

Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu. Mungu yu pamoja nasi kwani ameituma Chadema rasmi kuja kulipomboa Taifa la Tanzania kinaloangamia kwa wizi wa rasilimali, ameituma cdm imng'oe nduli ccm madarakani na kuaibika mchana kweupe
 
Ni kweli, ni lazima ichukue nchi, Nchi ya Arusha!


Ngumu kumeza kaka ili jitahidi usukumie hata na maji.........

Nje ya mada: hujambo kaka Rejao? ......kuna wazushi walinambia eti umelimwa ban la maisha kidogo nijitoe jf lol.......
 
Last edited by a moderator:
kama ni tupende tusipende; basi kuna haja gani ya kuwepo uchaguzi? Si hizo fedha za uchaguzi zingetumika kutoa huduma kwa jamii maana matokeo tayari tunayo?
 
kama ni tupende tusipende; basi kuna haja gani ya kuwepo uchaguzi? Si hizo fedha za uchaguzi zingetumika kutoa huduma kwa jamii maana matokeo tayari tunayo?

109% CCM wamenusa M4C inavyokwenda na ndo maana wamepitisha UWEPO WA MGOMBE HURU, KUWEKA PINGAMIZI MAHAKAMANI KWA MATOKEO YA URAIS, na mengineyo ambayo hapo awali hawakuyataka kuyasikia au kuyatamka........ Ukweli unajionesha wazi wazi J. M. KIKWETE a.k.a VASCO DA GAMA / KING MSWATI WA TZ / MZEE WA KUWATOSA WENGINE / MTALAAM WA KILIMO CHA BRAZILIAN TOMATOES (unayesoma ongeza na wewe majina yake) ndiye anayekabidhi Ikulu kwa CHADEMA 2015
 
uko tayari kumwaga damu? maana hawataondoka bure hawa..kumbuka nguvu za dola hapa ni ccm tupu...
 
2015 ndo utajua ni nchi ipi CHADEMA wameichukua. lazima mhame nchi yetu nyie gamba!
Kawaida ya mashabiki wa CM wasio na akili za kuwatosha kuweka any positive contribution kwenye mijadala.
Halafu hawa ndiyo "vichwa" vya CDM, my foot.
Ni watu wa matusi unaweza kusikia harufu mbovu ya uharo wao even through the net!
 
Mi nasubiria jinsi majizi yatakavyo sulubiwa 2015 ndani ya serikali ya CDM. Namuomba Mungu anipe uhai mpaka 2015 ili nishuhudie mafanikio ya CDM.
 
Hatimaye uhuru wa Tanzania utapatikana rasmi mwaka 2015, uhuru kutoka utawala wa CCM uliochoka na kushindwa kuleta matumaini kwa Watanzania, hii ni lazima, ishara zote zimeshatimia (Imethibitika kisayansi ya siasa CCM haikarabatiki tena).
Haitakuwa rahisi sana, kutakuwa na pingamizi mahakamani la kesi itakayopelekwa na CCM kupinga ushindi wa CHADEMA, lakini itashindwa maana system yote itakuwa ni ya chadema.
Penda msipende, mtake msitake, muamini msiamini CHADEMA itachukua nchi mwaka 2015, hii nasema kwa nguvu yote. Watanzania wengi watu wa Mungu wameamua hivyo, na wale wenye kuamua wameshaamua hivyo. Tusukume siku tu.

Ndoto za mchana ni "ruksa".

Itachukuwa nchi iipeleke wapi? kuzimu? Maana mmechukuwa mtaa tu mnakula masikio ya watu kwa kunyimwa chumba cha kufanyia uzinifu. Mnataka tuwape nchi muifanye danguro?
 
Pro-Chadema JF ninachowapendea jinsi wanavyojifariji na kujiliwaza.
 
Hatimaye uhuru wa Tanzania utapatikana rasmi mwaka 2015, uhuru kutoka utawala wa CCM uliochoka na kushindwa kuleta matumaini kwa Watanzania, hii ni lazima, ishara zote zimeshatimia (Imethibitika kisayansi ya siasa CCM haikarabatiki tena).
Haitakuwa rahisi sana, kutakuwa na pingamizi mahakamani la kesi itakayopelekwa na CCM kupinga ushindi wa CHADEMA, lakini itashindwa maana system yote itakuwa ni ya chadema.
Penda msipende, mtake msitake, muamini msiamini CHADEMA itachukua nchi mwaka 2015, hii nasema kwa nguvu yote. Watanzania wengi watu wa Mungu wameamua hivyo, na wale wenye kuamua wameshaamua hivyo. Tusukume siku tu.

kuna tofauti kubwa kati ya kukata tamaa na kupoteza matumaini..watz wamekata tamaa na CCM na wameanza kujipa matumaini kua labda wapinzani wanaweza (kwa sababu ya udhaifu mkubwa wa JK na serikali yake), ila wananchi hawa hawa bado hawajapoteza kabisa matumaini na CCM. ndiyo maana hata Arumeru kule kaskazini kwenye ngome ya CDM, CCM iliweka kilaza na ikashindwa kwa kura 6000 tu! hii inayonyesha ile HOPE yaani matumaini na CCM bado yapo tena makubwa tu..
 
Tuache porojo jamani CDM haiwezi kuchukua nchi bila sisi wanainch amabao ni wadau wakuu kuplay part yetu carefully na vizuri kuhamasishana na kuleta uamusho miongoni mwa watanzania vinginevo.......... nafikiri tunaijua ccm ilivo please guys lets play our roles in this!
 
mwisho wa gamba kutawala now waache cdm wawaaonyesha jinsi ya kuleta maendeleo na kutumia vizuri raslimali za nchi
 
Uliyosema kuhusu kuchukua nchi mwaka 2015, hilo hakuna kupingika ilimuradi tujipange tayari kwa ushindi huo, muhimu ni jinsi gani tutaendelea kuelimisha kundi kubwa la watu ambao hawaamini kuwa hilo linaweza kutokea kama vile Zambia na nchi zingine.......Bravoooooo
 
Back
Top Bottom