Recent content by Mugo wa kibilo

  1. M

    Mama yangu ana matatizo sana, anavuruga familia yetu

    Hakika umenena ndugu!! hakuna mbadala wa mama.
  2. M

    Mama yangu ana matatizo sana, anavuruga familia yetu

    mama ni mama tu hakuna namna vumilia tu na fanya majukumu yako kwake,,akikutoka utayakumbuka hata unayolalamika sasa.
  3. M

    Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

    Hawa baadhi ya Wakuu wa mikoa wa kwanza baada ya Uhuru Luangisa,John Mwakangale,Joseph Nyerere, moses Walwa, Mwakangata,Chamshama, Kapilima na Humbi Ziota.
  4. M

    Nauza Mchele wa miezi sita nilioulima mkoani Morogoro

    Hebu ni PM namba zako tuongee.
  5. M

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Akatele Isukulu Songea Boys 1993-1996
  6. M

    Kama hujawahi kuona hizi muvi basi zitafute

    Deadly pley mpaka sasa naiangalia nzuri sana
  7. M

    Walinzi wa Rais kufuga vitambi imekaaje?

    Tatizo tunahangaika sana na overt tunasahau kabisa covert!!!
  8. M

    Dawa ya tatizo la kupasuka pasuka midomo

    Yes nilikuwa na tatizo hili niliambiwa kula sana machungwa sasa niko vizuri sijapata tena hiyo shida.
  9. M

    Kwa nilichoambiwa na mke wangu; Nimechanganyikiwa naomba ushauri

    Daaaa weee noma huu ndio ushauri bora kabisa kwake.
  10. M

    Msiba wa King Majuto: Aibu yako Kikwete, aibu yetu Watanzania...

    Tena aombe msamaha mtoa uzi huu, mzee wa watu kafanya mengi sana kwa huyu mzee Majuto. Acha pia Mzee wetu King apumzike kwa aman.
  11. M

    Laptop yangu imeibiwa nimechanganyikiwa kabisa

    Laptop yangu min imeibwa.nimechanganyikiwa kabisa kupoteza kumbukumbu zangu nyingi sana. Msaada kwa wataalam plz.
  12. M

    Kabla hujaanza wiki mpya fuata mpangilio huu ili kupanga wiki yako

    Umekaa vizuri sana hii..ngoja niitanyie kazi.
  13. M

    Zambia to ship Kenya’s maize by rail

    From dar port they will them to mombasa port
Back
Top Bottom