Recent content by Muggz30

  1. M

    Kwanini kuchanjwa ni bure, ila kupima COVID-19 ni kwa hela?

    Ni sawa na kula chakula unalipia ila kunya chooni bure
  2. M

    Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

    Mbeya miaka ya 1998-2003, ilikuwa tunatoka kisutu saa 12. Mbeya mjini saa 9 au 10 jioni. Moro saa 3 iringa saa 6. Mbarali saa 8-9
  3. M

    Advanced Diploma in Dermatovenereology (ADDV)

    Hii course kwa Kuajiriwa serikalini mshahara mi mdogo sana. Scale utalipwa kama Clinical Officer. Japokuwa watakutumia to the maximum kuona wagonjwa wa ngozi..ukibahatika kupata mradi magomjwa yq ngozi sehemu ya kazi pengine utanufaika zaidi. Kwa ufupi pale KCMC COURSE ZA RDTC NA ORTHOTICS...
  4. M

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu mnakwama wapi?

    Mkuu unawezaje kuangalia deni lako bila kufika ofisini loan board
  5. M

    Yanga mnaivimbia TFF kisa kanuni imekiukwa. Mmejipanga kuzifuata kanuni zote au ni mihemko tu?

    Tatizo TFF wenyewe hawajaweka wazi Sababu ni zipi za kuhairisha game. Maana watu makini tunaweza kuona umuhimu wa sababu. Ila kutokusema hizo sababu ndio shida
  6. M

    TLS: Kwa Mujibu wa Katiba, sasa Tanzania haina baraza la Mawaziri, Rais Samia atakiwa kuteua Waziri Mkuu ndani ya siku 14

    Ndio maana kulikuwa na mchakato wa Katiba mpya kuziba matundu haya
  7. M

    Mh. Rais, Wizara ya Afya ni ka "Empire" ka Madaktari, Kuna "Mfumo Daktari" Ulioota Mizizi

    Medical Officer anaOperate kwa level Ukiwa Hospital Utaanza kuwa MO medical officer na kadiri unavyokaa kazini na kuwa na experience unapanda unakuwa Senior Medical Officer na Hatimae Principal Medical Officer. Daktar anaweza kuspecialize hivyo atakuwa Medical Specialist.. hivyo hivyo atapanda...
  8. M

    Mh. Rais, Wizara ya Afya ni ka "Empire" ka Madaktari, Kuna "Mfumo Daktari" Ulioota Mizizi

    Liverpool unaniangusha kwenye kuelewa.. Kwenye hospital hakuna leading wala treating post. kuna job tasks, Uongozi wa hospital unaendeashwa kwa Guidelines, Health management ambazo unakanidhiwa na wizara. you operate within the protocols. uwe na kipaji au usiwe, leading imekaa kisiasa zaidi...
  9. M

    Mh. Rais, Wizara ya Afya ni ka "Empire" ka Madaktari, Kuna "Mfumo Daktari" Ulioota Mizizi

    Hospital management ni tofauti sana, ina Technicals zake, ni zaidi ya kufanya treatment
  10. M

    Mh. Rais, Wizara ya Afya ni ka "Empire" ka Madaktari, Kuna "Mfumo Daktari" Ulioota Mizizi

    Anakuwa kiongozi kwenye Taaluma yake tu. na kwenye afya Daktar hafanyi kazi pekee yake, lazima awepo nurse, awepo, lab personel, awepo radiographer, na allied health kama physio., cleaner, attendants na wengine.. However, Daktar katika kusoma. anasoma kazi za kada zote kuanzia nursing, lab...
  11. M

    Mh. Rais, Wizara ya Afya ni ka "Empire" ka Madaktari, Kuna "Mfumo Daktari" Ulioota Mizizi

    Kuna RHMT Regional Health Management Team. Inaundwa na core team ya watu 7, RMO, RNO, RPO, RSHO, RDO, na wengine so Nurse anakuwa Reginal Nurse Officer, Pharmacist anakuwa Regional Pharmacist Officer na kadhalika...
  12. M

    Mh. Rais, Wizara ya Afya ni ka "Empire" ka Madaktari, Kuna "Mfumo Daktari" Ulioota Mizizi

    Muhuri upo Kisheria ila kwa mazoea Umekuwa ukitumika wa Hospitali, Kama kuna legal impact ya Taarifa zilizojazwa, Daktar atawajibika hata kama amahama hospital husika
  13. M

    Mh. Rais, Wizara ya Afya ni ka "Empire" ka Madaktari, Kuna "Mfumo Daktari" Ulioota Mizizi

    Hawezi kuwa RMO tafuta Document inayoelekeza nani atachaguliwa kuwa
Back
Top Bottom