Recent content by Mugango1

  1. M

    Chit-Chat English Language Debate, Lara1 vs Heaven On Earth.

    Naisubiri debate kwa hamu kubwa.
  2. M

    Maswali na ushauri kwa Malinzi

    Siku zote viongozi uchwara hukimbia maswali yanayowa-challenge. Ona sasa huyu pimbi anayejiita rais kakimbia. Umesema kweli mkuu, hawezi kurudi hapa labda asaidiwe na wafuasi wake.
  3. M

    Happy birthday to me

    Hepi bathdei tu yu Aliens. Uwe na maisha marefu zaidi.
  4. M

    Hodi wenyeji

    Naona amenikaribisha hapo juu, pia nimemshukuru.
  5. M

    Hodi wenyeji

    Nishakaribia mkuu, shukrani sana.
  6. M

    Hodi wenyeji

    Mimi me.
  7. M

    Hodi wenyeji

    Hapana, huko sijawahi hata kufika, sana sana nilipita makole nikakaa kwa wiki 3 tu na sijawahi kukaa hapo tena.
  8. M

    Yuko wapi Dr. Ndodi

    Kuna kajamaa kengine kanaitwa Dr mukwete ayyayayaaa kana balaa nchi nzima tehehehee
  9. M

    Hakuna picha yoyote inayomuonyesha N.Meena akiwa USA

    Meena ni mwandishi kanjanja, bora angebadili fani awe hata fundi umeme kuliko kucheza na chombo kinachoweza kuleta mauaji ya halaiki kama ile media ya Rwanda 1994.
  10. M

    Mwandishi kama Meena unamuweka kundi gani?

    Hivi walilipa na cheo kwenye jukwaa la wahariri? Ndo maana tasnia ya habari inazidi kudharaulika.
  11. M

    Mwandishi kama Meena unamuweka kundi gani?

    Hilo kanjanja lililokubuhu
  12. M

    Trafiki wa kike atekwa akiwa barabarani

    Huyo trafic si mwungwana hata kidogo, ndiyo maana mimi mapolisi wote nawadharau hata kufa wafe tu kama wale walovamiwa kituoni wakacharangwa mapanga.
  13. M

    Samuel Sitta naye atua Bukoba leo kusaka kura za Urais

    Na pia alivyoshirikiana na waziri wa sanaa na michezo na utamaduni kuharibu mjadala wa katiba.
Back
Top Bottom