Siku zote viongozi uchwara hukimbia maswali yanayowa-challenge. Ona sasa huyu pimbi anayejiita rais kakimbia. Umesema kweli mkuu, hawezi kurudi hapa labda asaidiwe na wafuasi wake.
Meena ni mwandishi kanjanja, bora angebadili fani awe hata fundi umeme kuliko kucheza na chombo kinachoweza kuleta mauaji ya halaiki kama ile media ya Rwanda 1994.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.