Recent content by Mugabonihela

  1. Mugabonihela

    Ni mtu wa ajabu pekee ndiye atakayechukia Wallace Karia kushinda tena Urais TFF, ila wenye Akili tunamkubali na atashinda tu

    Sijawahi kumkubali Wallace, haya mafanikio tunayoyaona kuanzia kwenye timu ya taifa mpaka vilabu ni matokeo ya muda tu kwani ilikua lazima tufike hapa. Tukianza na vilabu, Wallace amekutana na wakati ambao wafadhili wa hivi vilabu wameamua kuweka hela kwenye football na kama unavyojua MPIRA...
  2. Mugabonihela

    Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

    Hivi mfano Congo ingekua ni nchi iliyojaa waislam ata 30% unafikiri vikundi kama M23 na vinginevyo visingeitwa vya kigaidi kweli? Usiendeshwe na propaganda za kimagharibi kama hujawahi fika kwenye nchi husika.
  3. Mugabonihela

    OC - CID Mafwele ni nani? Kwanini haguswi na uhamisho wa Polisi nchini?

    Sidhani kama kuna sababu ya kutomuwajibisha huyu jamaa mpaka sasa.
  4. Mugabonihela

    Kwa tukio la kuuliwa Ali Kibao nawatetea polisi.Ni kundi lenye nia mbaya na nchi

    Ali Mohamed kibao hana nafasi kubwa kwenye chama cha chadema ni sawa, na sativa ana nafasi gani ndani ya chama?
  5. Mugabonihela

    Simba ijenge uwanja wake tu,maana kwa uchawi wa Yanga keshatia mguu KMC msitarajie mafanikio yoyote

    Umemaliza kila kitu Chief, mashabiki wa simba wanatakiwa kukubali kua yanga kwa wakati huu ina quality players na sio kuamini yanga ina quality witches.
  6. Mugabonihela

    Tamaduni Music ilianza na kufa mwaka gani?

    Tamaduni ilianza around 2012 huku muasisi akiwa na duke tachez, kufa kwake nadhani kulianza baada ya wasanii wake kumaliza contract na m-lab hivyo ikakosa muelekeo kuanzia apo. kwa sasa imefunikwa na mwamvuli mwingine wa kikosi kazi ambao naona kabisa umekosa platform pamoja na kua una watu...
  7. Mugabonihela

    Dizasta ni mdogo wa damu wa King Crazy GK aliyechagua kurafikiana na Professor Jay na Mr Ebbo

    Mwandishi umetuvuruga sana, mimi nilijua unazungumzia udugu wa damu bn. Anyway dizasta anafanya mziki ambao unastahili mashabiki wachache wenye uthubutu wa kufikiri. Hivyo ni rahisi sana kwa mtu anaependa rap za kawaida kusema disasta hana maajabu. Ukiona fid na Prof jize wamenyoosha mikono...
  8. Mugabonihela

    Kilimo si kwa watu dhaifu

    Binafsi nilichagua kilimo cha miti, hivi vingine it's more than betting.
  9. Mugabonihela

    Mo Dewji tunaomba utusamehe sisi sote tuliokunyoshea kidole kwenye Mali yako

    Sawa timu imeuzwa! Lakini hiki hakikua kipindi sahihi cha kuanza kwa mjadala huo, bwana mudi alipaswa asubiri matokeo ya mechi yetu na Galaxy ndio alete hii hoja. Technically kuna kitu hakijakaa sawa, Mo ajitokeze mbele za watu kuliweka hili jambo sawa tena ikiwezekana ndani ya masaa 12 yajayo.
  10. Mugabonihela

    Rick Ross Featuring Jay-Z & John Legend-FREEMASON

    Unahitaji third eye ili kuyafikisha mawazo kwenye uhalisia wa lyrics hizi.
  11. Mugabonihela

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Ni kweli kabisa.
  12. Mugabonihela

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Niliahidi mzigo utaisha, hivyo nikipata muda nitajitahidi kutupia vipande vingi zaidi. Kwa wanaotaka kusoma chap na kumaliza nendeni Whatsapp 0623329512 kule mzigo umeisha.
  13. Mugabonihela

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    TUNAENDELEA WAKUU. Story na wale jamaa zilinifanya nizidi kuwa huru zaidi ya ilivyokua hapo kabla, na mpaka wakati huo nilijua kuwa Rehman ndio aliyeniwekea ile memo siku ile nikiwa msikitini. Na wenyewe pia walikubali kuwa Tala ni fatemeh, na jina hilo alipewa wakati akiwa bado mdogo sana na...
Back
Top Bottom