Asubuhi kete Moja ya skanka ya Malawi nauziwa 5000 + pineapple express (bangi ilivundikiwa sumu ya panya.sk.dawa ya usingizi) inauzwa 5000.kwa hiyo kwa siku natumia mara tatu ambayo ni 30000/= anayeniletea anakula 20000/= kwa siku inakuwa 50000l= nahitaji msaada kwa yoyote aliyewahi kupitia...
Jumapili njema wakuu, nimeenda church Leo kidogo.
Nimetoa sadaka ya laki sita baada ya kupiga diesel ⛽ za kutosha kwenye skavetaa yangu kwa ajili ya kufutiwa dhambi maana hali mbaya sana, baada ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija, nikafanya kila mbinu ya kumrudisha ila zote zimefelii...
Ndugu zangu naombeni ushauri baada ya kuachwa na Khadija mwanamke ninayempenda sana.
Sasa Kuna mwamba mmoja alinipeleka kwa mtaalamu tukafanya mambo, nimelazwa makaburini siku 7 mfulilizo na mtaalamu amekula zaidi ya ml 4 lakini kinachoniuma mpaka sasa inakaribia mwezi sioni majibu yeyote...
Wakuu Bado naendelea na maombolezi ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija kimodoo, maymivu ni makali sana nayopitia kuhusu huyu mwanamke siamini ,mpaka saivi hata kazini Leo Mchina amenipa likizo siku mbili nipumzike, nimeshindwa kufanya kazi natetemeka,homa Kali sababu ya mapenzi...
Wanazengo naombeni msaada, huyo kwenye picha ndo Khadija wangu nampendaaa sana, huyu Binti ndo kila kitu kwenye maisha yangu,
Tangu ameniacha mara kadhaa nimejaribu kujfanya kila namna ili nimsahau nashindwa inauma sana,hapa TU sijaenda kazini na mchina anataka kunisimamisha kazi ,sababu ya...
Nipe picha yake mkuu,maana mwezi ujao ntakuwa hapo dom Kuna m,radi tunakuja kupiga,ili nimuee kisheria nimgonge na Gredaa live na watu wanaona,kisha ntapelekwa mahakamani baada ya hapo,Sheria itaamua kuwa mtu yeyote ni kosa kuwA karibu MITA mia na Gredaa ikipiga kazi kisha ntakuwa huru,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.