KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 4,275
- 5,734
Petrol, petrol, petrol, nimeiita mara tatu...petroli ukiitumia vibaya ni mbaya kweli!
vyotee tu mkuu, lakin kuna namna kuchelewesha salary sio poaKati ya mapenzi na kulipwa mshahara trh 45 badala ya tareh 28 kwa sisi wa praivet sekta, kipi kinauma?
Si aungane na Omari marioo wakajaribu bahati huko🤣Why Mombasa? 😂
Utaexperience vipi akati upo upande wawatia block,? wanaume hua hawablock ila nyie ndo top 😂Kuna wakati moyo unamfanya mtu afanye maamuzi ya ajabu sana
Lakini cha kushukuru ni tuna-move on na maumivu huwa yanapungua
Sijawahi kuexperience block hata mara moja,nadhani ni maumivu ikitokea hivyo siku
Ucheleweshewe mshahara wakati kodi imeisha na mwenye nyumba amekuvumilia zaidi ya week mbili.vyotee tu mkuu, lakin kuna namna kuchelewesha salary sio poa
Ila wanaume mnapitia mengi sana 😂Utaexperience vipi akati upo upande wawatia block,? wanaume hua hawablock ila nyie ndo top 😂
Heee! 😂Si aungane na Omari marioo wakajaribu bahati huko🤣
Koo mwanetu ulitaka bikraWazee inakuejee mabibi inakueje,
Mimi ni muendesha katapila aka Greda aka skaveta, nimekuja mnisaidie Mimi Kuna demu nikikutana naye Dar anaitwa Khadija aka kimodoo, ulikuwa mwaka juzi ametoka kumaliza form six, sasa nikatupia swaga mtoto akakubali sababu Mimi ni mnyamwezi
Penzi likanogaa, sasa kinachoniuma kumbe alikuwa na mchumba huko mkoani, kwao Igunga, alikuwa anasubiri amalize shule amuoe, kibaya zaidi Mimi nimewekeza kila kitu kwake hela nimempa za kutosha na shoo akawa ananinyima akinambia yeye ni bikra nisubiri muda ufike atanipa😭😭😭
Sasa hivi ameondoka Dar na nikimpigia ameniblock, roho inaniuma sana nataka nikajiue siwezi kuishi bila yeye wanangu nisaidieni, nampendaaa sana imebaki TU kichwani namba yake ya halotel inaishia na 9829
Upo wapi? nije nikuchukue nikupeleke sehemu ambayo utamsahau kabisa huyo Khadija KimodooSasa hivi ameondoka Dar na nikimpigia ameniblock, roho inaniuma sana nataka nikajiue siwezi kuishi bila yeye wanangu nisaidieni, nampendaaa sana imebaki TU kichwani namba yake ya halotel inaishia na 9829
Jiue utampata aheraWazee inakuejee mabibi inakueje,
Mimi ni muendesha katapila aka Greda aka skaveta, nimekuja mnisaidie Mimi Kuna demu nikikutana naye Dar anaitwa Khadija aka kimodoo, ulikuwa mwaka juzi ametoka kumaliza form six, sasa nikatupia swaga mtoto akakubali sababu Mimi ni mnyamwezi
Penzi likanogaa, sasa kinachoniuma kumbe alikuwa na mchumba huko mkoani, kwao Igunga, alikuwa anasubiri amalize shule amuoe, kibaya zaidi Mimi nimewekeza kila kitu kwake hela nimempa za kutosha na shoo akawa ananinyima akinambia yeye ni bikra nisubiri muda ufike atanipa😭😭😭
Sasa hivi ameondoka Dar na nikimpigia ameniblock, roho inaniuma sana nataka nikajiue siwezi kuishi bila yeye wanangu nisaidieni, nampendaaa sana imebaki TU kichwani namba yake ya halotel inaishia na 9829
Inauma sana na pesa zako imetoa akawa anazipiga anakuona wewe boya tuKinachokuuma hapo ni hujawahi kupewa mzigo na ile idea kwamba anaenda kupewa jamaa mwingine
Pole
Inauma sana na pesa zako imetoa akawa anazipiga anakuona wewe boya tu
Sijatumwa na mtu,ni mapenzii TU,hapa nakunywa visungura angalau nisahaukuwaambia wenzio wa moveon ni rahisi mpka utakapo fikiwa na wew 😅,,,
pole sana kwani ulitumwa
Ndiyo mkuu ndo maana nilikuwa mvumilivu,mixer na kumhudumia kiujumla nilijitoa kwa huyu mwanamkeKoo mwanetu ulitaka bikra
Bora nife nikipigania mapenzi yangu😭😭😭 ntazikwa kwa heshima kuliko kuzikwa na skavetaaMdogo angu subiri ufe 77 kwenye maandamano utakuwa umekufa kishujaa kuliko kufa kiboya Ivo.