Recent content by Muebrainia Halisi

  1. M

    Jade Vance amemzidi mbali boss wake Trump

    https://x.com/AccountableGOP/status/1841181014225453450 Pesa ndio Inaongea
  2. M

    Hassan Nasrallah (1964 - 2024)

    Wapigwe mabomu tu, Lebanoni ilikua nchi njema sana ya kikristo WASHIA wameiharibu sana
  3. M

    Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

    Breaking: Israel eliminated Hassan Khalil Yassin, who replaced Hassan Nasrallah hours ago.This breaks the Guinness world record for the shortest tenure as the head of a terrorist organization.
  4. M

    Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

    Breaking: Israel eliminated Hassan Khalil Yassin, who replaced Hassan Nasrallah hours ago.This breaks the Guinness world record for the shortest tenure as the head of a terrorist organization.
  5. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Jacksoni anakasirikaga akisemwa, NAFASI 3 amekosa
  6. M

    Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

    Gari bado ipo na nakula mitaa service inakula kwa wakati sahihi, sijawahi kutana na tatizo lolote, kama nitanunua gari basi ni Dualisi tena Naelekea befoward again, maana nilikaa masaa 4 na dada mmoja pale befoward kuchagua gari tu
  7. M

    Donald Trump ajiunga TikTok ndani ya masaa 24 tu amepata followers milioni 2

    Wazungu hawamuelewi Trump kabisa. Yaani hawamuelewi
  8. M

    Donald Trump ajiunga TikTok ndani ya masaa 24 tu amepata followers milioni 2

    Uchaguzi wa USA unaamuliwa na meza kuu, Putin alisema kwenye Interview na Tucker, Biden ni whipping boy tu, waongoza nchi wapi Hao wazee hawamtaki Trump, atapigwa mchana kweupe
  9. M

    Nimekosa Mkopo benki kisa nilichelewesha rejesho mwaka 2018 kwa siku 60

    Wakianza kupangisha kwa credit check watu si WATALIA
  10. M

    Nimekosa Mkopo benki kisa nilichelewesha rejesho mwaka 2018 kwa siku 60

    Mnataka kuishi kama wananchi wa Dunia ya kwanza wakati mnalia kurudisha mkopo HIYO NDIO MAANA YA CREDIT CHECK itawaliza wengi Mimi niliomba huduma ya Internet wakataka credit check ya phone bill wakakuta nilipitiliza siku 7, nikagomewa
  11. M

    Serikali ya Awamu ya 6 itaendeshwa na misaada ya nje kuliko kodi za ndani

    Hahaha, kinakuuma ni kitu gani???? Kafagie chato
Back
Top Bottom