Leo nimemsikia mtangazaj wa radio moja anaongea upumbav na ujinga anasema eti kama polis anakwambia simama ww unakwenda lazima akupige mm nafikir hakuelewa au Ana matatizo ya akil, kama polis wanaweza kutawanya watu na kuuwa kwann wasiwe wepes kutoa kibali cha mikutano?
Umasikin wa mawazo ni mbaya sana mlikwenda kipigwa na jua kisa Obama matokeo yake mkala vumbi bila hata kupewa mkono ila kwenda kumuona alieonewa mnaongea pumba angekuwa baba yako ungeyasema hayo unayosema
Unajua kama kusema watanzania na vyombo vya habar pia vimesema sana ila viongoz wetu wanatuona wapumbav sana nakumbuka niliwah kusoma makala kwenye magazet na serikal ilivyo na usanii eti waliotoa Kibal wameshtakiwa, Hii ni sanaa ya kitoto unajua pemben ya lile jengo wanakaa na maafisa wa...
Kwahili BAKWATA wanaleta cinema ya kichina wakat walipouza mal za waislaam hususan viwanja shekhe ponda alikemea na kujitoa mhanga huyo shekhe wa mkoa pamoja na muft ndio waliosimama kwenye media na kusema sheikh ponda mhun tu kwanza hana elimu sasa leo hii wanamtetea vip mtu mhuni asie na...
Matukio haya na yale sambamba na habari/picha za ziada za Globu ya Jamii matukio-michuzi matukio-michuzi
Home
View web version
SUNDAY, AUGUST 11, 2013
MUHIDIN MICHUZI at Sunday, August 11, 2013
SHEKHE PONDA ATIWA MSUKUSUKO KATIKA JARIBIO YA KUTIWA MBARONI NA POLISI MORO.
Na John Nditi wa...
Unajua mlio wengi hamjui kama dini imegeuzwa siasa. Kuna siku moja kiongozi wa nchi ilikuwa siku yake ya kizaliwa akaswal pale makao makuu ya bakwata kinondon cha ajab baada ya sala shekhe wa mkoa wa dar alituiimbisha wimbo wa siku ya kuzaliwa msikitin, kitu ambacho hata mtume muhamad saw...
Hapo kuna tatizo sana mm niliibiwa vitu vya gar home nilipofika hapo majjb niliyopewa nilijuta kwa nn nimeenda ila nitakapo kamata mwiz nitamtaka radhi mwenyez mungu tuu anisamehe kwa kuua
Mengi huwa yanasemwa lakin mm naweza kusema lawama zote ni kwa polis na serikali yake. Kama utakaa na kuleta fikra pana utakubaliana na mm kuwa taatifa zinatolewa ila baada ya mtuhumiwa kukamatwa polis ndio wanamtaja mtoa habar kwa mtuhumiwa matokeo yake unapata uadui usio na faida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.