Kesi dhidi ya Pinda yapangiwa majaji

Kesi dhidi ya Pinda yapangiwa majaji

Yaaani huyu atagalalaga kabisa kwa kilio siku hiyo
 
najaribu kumpiia picha sasa hakimu anasema nimemkuta na hatia na hivyo ata............................jela. mmmmmmmmmmmmmmmm atalia huyooooooooooooooo
 
Akikutwa na hatia apigwe tu, tumechoka sasa na wachovu. Viboko 12 anapoingia Ukonga na viboko 12 anapotoka, akamwonyeshe mkewe asiyechoka bado.
 
Pinda ni mwepesi wa kuropoka na vilevile ni mwepesi wa kulia,apelekwe tu maana nasi tumechoka na akili ndogo kulazimisha kutawala akili kubwa,nasema apelekwe2 mahakamani.
 
Itaongozwa na Jaji Faki Jundu, Huyu si ndiyo Yule Jaji Kihiyo wa Kamanda Lissu ?
 
Apigwe kwanza mama yake kama anaona ni busara kupiga watu; kama wanamakosa si wakamatwe wafunguliwe mashitaka sio wapigwe tu, wapige kwanza ndugu na mama zake harafu ndo ajue kusema piga tu wakati polisi wanaua watu kwa mabomu na risasi za moto, sikubali hata kama nitapinga mimi pekee yangu.
 
Kuna mwanasheria mmoja kanitonya kuwa kosa la kuvunja katiba,pamoja na adhabu ya kutengua wadhifa wa mkosaji eti pia inaadhabu inayokwenda pamoja na hiyo ambayo NI KULAMBWA VIBOKO KUMI NA MBILI UKAMWONYESHE MKEO.
Jamani nipeni msaada maana namwona huyu jamaa kama vile Bush lawyer sijamwamini kabisa na hasa nikiwaza mzee wa "wapigwe tuu" kulambwa bakora!
 
walimponza ile misukule ya ndiooooo na kugonga meza kwa sana,sasa koti anaenda peke yake
 
afungwe tu,hata akinyongwa! acheni ahukumiwe tu kwa maana tumemchoka na kauli zake.
 
Apigwe kwanza mama yake kama anaona ni busara kupiga watu; kama wanamakosa si wakamatwe wafunguliwe mashitaka sio wapigwe tu, wapige kwanza ndugu na mama zake harafu ndo ajue kusema piga tu wakati polisi wanaua watu kwa mabomu na risasi za moto, sikubali hata kama nitapinga mimi pekee yangu.
Chukua tano zangu, mimi nitapinga na wewe. Kama hawatakuwepo wengine bac na tuwe wawili.
Kwakweli kabisa sielewi kwa nn hatujaandamana kupinga kauli ya Pinda na kushikiza a apologise na kujiuzulu, katufanya washenzi(kwa maana ya watu wasio nautaratibu na wasioenenda kwa na kujuwa sheria na pia watu tusiojua haki zetu) nasi eti tumekubali!
Lazima tuseme Nooooooooo.
Niko na ww na wengine tuungane na kujitambua.
 
Leo nimemsikia mtangazaj wa radio moja anaongea upumbav na ujinga anasema eti kama polis anakwambia simama ww unakwenda lazima akupige mm nafikir hakuelewa au Ana matatizo ya akil, kama polis wanaweza kutawanya watu na kuuwa kwann wasiwe wepes kutoa kibali cha mikutano?
 
LHRC/TLS Chukua tahadhari huyu mkizingatia kuwa huyu Fakhi ni kilaza na huyu Fauz ni hodari na mtalaam wa kukaa na mafaili ya walio na kesi huku akisubiri mulung... Na pia ni mtalaam wa kutengua hukumu za wenzake walio na level moja.
"Kesi ya LHRC/TLS dhidi ya Waziri Mkuu, imepangiwa Majaji watatu: Jaji Kiongozi Fakhi Jundu, Jaji Augustine Mwarija na Jaji Dr. Fauz Twaibu. Tunasubiri kupata tarehe za kesi kuanza kusikilizwa"
 
Back
Top Bottom