ni wewe tu usiyesikiliza wenzio tunasikiliza na zinabamba kisawasawa hata hivyo usingejua kuwa ziko tano kama hazisikilizwi kwa kuzingatia kauli hiyo hata wewe unasikiliza
watu bwana! kubalini tu diamond hana mshindani bongo hii zaidi ya wivu na chuki mtu wanaemshindanisha nae anaheshimu mashabiki lakini kiba msanii wa kawaida sana ndio mana hata nigeria hawamtafuti kwa collabo.
Sheria hii ikpita,madhara yake, upatikanaj wa habar utakuwa mgumu sana! Hata upelelezi kwa jesh la police utasumbua, wakat kwa sasa n rahc ata kupata mambo ya sirin kwakuwa watu wako huru kuzungumza, tukumbuke, MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
haisaidii kubadili matokeo tu! Kuna mambo menge yanayotakiwa kufanywa kama:
kuongeza walim, vifaa vya kufundishia, nyumba za walim, mazngira mazur ya kujifunzia.................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.