Well said and noted, hii imekaa vibaya, mambo ya shikamoo sijui nini, haiko poa. Kusema tuiache mazima, nadhani itakuwa ngumu maana ni sehemu ya utamaduni tulioukuta ktk jamii zetu. Ndio maana ktk civics kuna kipengele kinasema miongoni mwa characteristics of culture is complex. Ila kwa baadae...
Nadhani uko miongoni mwa jamii ya mashoga, kia kukicha unasakama waalimu tu, hata mzee wako ni juhudi za walimu. Nenda ukachambe dogo, mambo mengine jaribu kuficha upumbavu katika jamii, kila mtu acheze ktk eneo lake. Hawawezi watu wote wafungie biashara, nani atakuwa mteja wa mwenzake? Acha upimbi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.