gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,244
- 5,822
Hiyo za saa hizi ni sehemu ya shikamoo.Hiyo salamu ina urefu wake ila watu mnaikata vipande vipande ndo maana mnaangaika nayo.Mm bora nisikusalimie kuliko kukupa shikamoo, yaani mm ni za sa hizi tu.