Recent content by mudafrank

  1. M

    Nafasi za JKT kwa waliomaliza Form 6 mwaka 2016

    Tafadhari wadau kwa anaejua mahitaji muhimu yanayotakiwa kwenda nayo huko jkt pia tarehe rasmi ya kuripoti naomba kujuzwa maana Nina uhitaji mkubwa sana.Asante sana.
  2. M

    TCU selection

    Kama mtu hutaki kujibu swali la mwenzio basi soma post yake halafu iache ila siyo kutoa majibu yasiyo na tija kwa muuliza swali.
  3. M

    Vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa

    Nahisi matumizi ya madawa ya kuulia wa dudu na matumizi ya mbolea za viwandani mashambani yamechangia sana kuharibu harufu nzuri ya vyakula zamani samadi ilitumika
  4. M

    Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

    Kunatusi gani hapo?
Back
Top Bottom