Walyobahamza
Member
- Oct 23, 2016
- 35
- 20
Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa linawatangazia vijana wote waliohitimu kidato cha sita June 2016 na ambao hawajajiunga na elimu ya juu,,kujiunga na MAFUNZO ya Jkt.
Unakuwa unakula na kulala bure wewe ni kufanya mazoezi tu basi.Halafu inakuwaje tukishajiunga???
Hapo thatha... Kama ni hivyo siendiiii. Chuo nishakiaga na sasa naenda homemhh unakuta unafanya mazoez na kaz haupati
Where can i trace this info.?Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa linawatangazia vijana wote waliohitimu kidato cha sita June 2016 na ambao hawajajiunga na elimu ya juu,,kujiunga na MAFUNZO ya Jkt.
Tafadhari wadau kwa anaejua mahitaji muhimu yanayotakiwa kwenda nayo huko jkt pia tarehe rasmi ya kuripoti naomba kujuzwa maana Nina uhitaji mkubwa sana.Asante sana.Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa linawatangazia vijana wote waliohitimu kidato cha sita June 2016 na ambao hawajajiunga na elimu ya juu,,kujiunga na MAFUNZO ya Jkt.
Tafadhari wadau kwa anaejua mahitaji muhimu yanayotakiwa kwenda nayo huko jkt pia tarehe rasmi ya kuripoti naomba kujuzwa maana Nina uhitaji mkubwa sana.Asante sana.
AsanteKundi hili linahusisha Vijana wote waliosailiwa mwezi Mei na Juni mwaka 2016 katika ngazi za wilaya na mkoa na kuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT.
- Vijana wa Kujitolea
- Vijana hao wa Mujibu wa Sheria na Kujitolea wanatakiwa kuripoti katika makambi ya JKT waliyopangiwa wakiwa na vifaa vifuatavyo:
- Bukta ya rangi ya bluu iliyokoza (Dark blue) yenye mpira kiunoni (lastic), iliyo na mfuko mmoja nyuma isiyo na zipu, iwe na urefu unaoishia magotini.
- Raba ngumu za michezo zenye rangi ya kijani au nyeusi.
- Shuka jozi mbili za kulalia zenye rangi ya bluu bahari ukubwa wa 4x6.
- Soksi za michezo jozi mbili rangi nyeusi.
- Chandarua moja ya duara rangi ya bluu au kijani ukubwa wa 4x6.
- Nguo za michezo (truck suit) jozi moja rangi ya kijani au bluu.
- Fulana (T-shirt) ya kijani isiyokuwa na maandishi yoyote.
- Mavazi hayo yasiwe ya kubana mwili.
- Inasisitizwa kuwa vijana wa kujitolea wanaotakiwa kuripoti makambini ni wale tu waliopita katika usaili kwenye ngazi za wilaya na mikoa na kuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT.
- Vijana hao wa Mujibu wa Sheria na Kujitolea wanatakiwa kuripoti kwenye makambi ya JKT waliyopangiwa kuanzia tarehe 01 mpaka 05 Desemba 2016 kwa kujitegemea nauli ya kwenda na kurudi.