Mkuu Rakims,
Na mimi nina tecno T611S, nime-download kutoka kwenye hiyo link, ikaenda vizuri tu, wakati wa ku-install inakwenda kwenye browser ili ifungue website ya "Whatsapp legal..." ikifika hapo inasema java script is not enabled in my browser. Naomba kujua kama kuna namna yoyote ya...
Hongereni sana Moderators! JF imekuwa sehemu ya maisha yangu, yaani siku ikipotea kidogo tu huwa napata homa. Muendeleze ubunifu wenu kwa faida ya taifa. Tuko pamoja!
Itabidi Rais ajaye awe anateua wapagani tu. Naamini hilo litapunguza hizi fikra. Hatari ninayoiona ni hii, kila tukisikia uteuzi fulani, jambo la kwanza tunalokimbilia kulitafuta ni dini ya mteuliwa na wala sio weledi na utendaji kazi wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.