Kipaji kinachopotea,papii the best rapper kwa upande wangu,hope watasamehewa,inaniwia vigumu kuamini kama kweli baba na mtoto mfanye kwa pamoja ubakaji ila ndio hivyo tena.
Torch browser,nime2mia browser zote ila hii ipo poa sana,ina features nyingi pia ina download video na music bila kama download manager yoyote,jaribu hii utatupa jibu.
Ni kati ya nyuki dume anaejua atakafu kwa kumpanda malkia ili kizazi kiendelee au kinyonga jike anaekubali kupokea ujauzito na anajua akijifungua atakufa,pata picha ingekuwa kwa binadamu tena hp bongo gesti zisingekuwepo
Wanajf leo nimeshuhudia kisa ambacho kimenifurahisha sana,tulikuwa kwenye semina flani na haikuwepo dalili ya kuisha mapema semina hy ingawa muda wa jioni ulikuwa umekaribia ambapo kinamama wengi walianza kutoka na kuchukua posho zao kwa gea kuwa wananyonyesha,basi akainuka mbaba mmoja nae...
Nyimbo ya kwanza ni dotinata,ambayo papi kocha ameshiriki vema na nyingine jina siijui ila ila mashairi yanayosema unionyeshe nani anagawa pesa nimfuate nami nipunguze shida saidia omba omba,kama kuna mwana jf mwenye nyimbo hz au link ambayo naweza kuzipata nitashukuru sana.
Naomba msaada jinsi ya kufanya ili king'amuzi cha star times kirudishe channel za hp tz nimejaribu auto search pia kimekataa,zilipotea baada ya kufanya manual search kwa code 531,hope nitapata msaada hp Jf.thanx
Mona lisa ni mchoro maarufu duniani labda kupita michoro yote duniani,hii ni kazi ya mchoraji maarufu Leonardo da Vinci katika miaka ya 1503 ,mchoro huu una thamani ya mamilioni ya dola,mchoro original uliochorwa miaka hiyo upo hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.