Nyimbo ya kwanza ni dotinata,ambayo papi kocha ameshiriki vema na nyingine jina siijui ila ila mashairi yanayosema unionyeshe nani anagawa pesa nimfuate nami nipunguze shida saidia omba omba,kama kuna mwana jf mwenye nyimbo hz au link ambayo naweza kuzipata nitashukuru sana.