Salama wadau,naona tuzo za Kilimanjaro music awards ndio zimeanza mlimani city na ziko live Clods tv na ITV, well naona kuna weakness zimeanza kuonekana,kuna jamaa yupo stage ndio mshika mic,Kwa nini wasingeweka stand kwa ajili ya hiyo Mic,kwanza wanamchosha,pili haileti Picha nzuri,mtu anataka...