Recent content by Mtz-halisi

  1. Mtz-halisi

    Press conference ya ACT-Tanzania

    Siku hizi ajira ngumu sana, vijana wanatafuta ajira kupitia njia mbali mbali, kwa sasa ni kupitia SIASA, utakuta vijana wenye nguvu na Taaluma zao wanazunguka huku na huko wakitafuta pesa nyingi hata zisizo salaama. Leo hii watu wanaanzisha CHAMA harafu wanatokelezea na misemo ya ajabu eti Taifa...
  2. Mtz-halisi

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Ndugu wana JF, nimefuatilia mwenendo wa Chadema na uchaguzi mdogo wa jana na siku za nyuma. Kwa mtu mwenye jicho la tatu anatakiwa kuwapongeza CHADEMA na siyo kuwaponda kama baadhi wanavyofanya. Hakuna sehemu katika Tanzania CCM imepita kiulaini, imefanya kazi ya ziada pamoja na kutumia Police...
  3. Mtz-halisi

    Majibu ya Waraka wa Manyerere Jackton na Pasco wa JF, kuhusu yanayoendelea CHADEMA

    Ahsante baba umenena vema, Mungu akubariki
  4. Mtz-halisi

    Ahsante sana mwanakijiji wewe ni mzalendo wa kweli

    Kwa niaba ya wanachama wa CHADEMA twasema ahsante. Uchambuzi wako ulikuwa ni mzuri na wa Busara kubwa, ushauli wa kujenga. Najua imepita siku nyingi toka uandike ushauli wako; Viongozi wa CHADEMA wamesikia na watafanyia kazi. ila sijui kama ndugu Zitto alisoma na kuuelewa. Tuzidi kuomba juu ya...
  5. Mtz-halisi

    Wataalamu wa teknolojia waichambua video ya Lwakatare, baadhi wadai ni halisi!

    Mimi ni mtaalamu wa IT chuo kimoja wapo cha hicho ulicho andika, hao ni wataalamu fake wametowa maneno kishabiki. kwenye IT kuna specification nyingi i.e Programming, Database, Graphics, Multimedia, hardware , Artificial inteligent, Image Processing, etc sasa ukimkuta mtaalamu wa Database...
  6. Mtz-halisi

    Ludovick Joseph: Kilio cha usaliti - Sehemu ya pili

    Kuna watu wakutumwa rafiki, siyo mimi. Kwa miaka niliyo ishi najua, huyo Mtela ni mtoto mdogo sana kwangu, sisi ndio tulio mpa jina hilo Vwawa, ila sasa tumekuja jua hana nidhamu. hafai kuwa kiongozi na hatakuja kuwa kiongozi wa kuchaguliwa labda ateuliwe na mabwana zake. Nakuambia hivyo nawe...
  7. Mtz-halisi

    Ludovick Joseph: Kilio cha usaliti - Sehemu ya pili

    Wakati ninakuwa wazazi wangu walinifundisha penda kusikia zaidi na kusema kidogo, ndani ya machache kuna hekima zaidi kuliko maneno mengi, Mtela tumekusikia ila kuwa makini kuna siku utakuwa peke yako unatetea ushahidi wako. Mimi ni mwanachama hai wa Chadema na hakuna mtu anayenijua hapo makao...
  8. Mtz-halisi

    CHADEMA - Mlima Mrefu Wenye Watu Wengi

    Nimependa Busara zako ndugu
  9. Mtz-halisi

    Uthibitisho wa kazi maalum ya Ben Saanane na hujuma za Dr. Slaa kwenye siasa za Juliana Shonza

    Makamu Mwenyekiti Bavicha, Are you a leader? Ukiona kazi imekushinda ni bora u-resign. Siyo vizuri kutumika kuua chama, usisubiri ufukuzwe uanachama, mbona mwenzenu Davidi silinde katulia sana na anafanya kazi inayo onekana. Naona aibu kuwa na dada kama wewe napata aibu hata kusema sisi watu wa...
  10. Mtz-halisi

    Mbinu kampuni katika uendeshaji wa shughuli za kisiasa.

    Gwakisa, Mpiganaji jana nilikushauli kaa chini usome shule, umalize. Kijana uliyeonekana tegemeo la Chama leo umegeuka na kuona kila kitu kibaya. Wewe hapo nyuma ulikuwa unasema wazi wazi kuwa tatizo la chama kuna mamluki wengi toka CCM na ukipendekeza uongozi uchukue hatua, na baazi ya hao...
  11. Mtz-halisi

    Barua kwa Mhe. Zitto kutoka Mtwara

    Huyu Tuntemenke anakera sana sana, Anyway Ungekuwa na akili nzuri ungetulia na zile kura ulizopata mwaka 2010 ungeongeza kidogo tuu ukawa mbunge mtalajiwa wa jimbo lako. sasa wewe umekeza kwenye kunywa pombe na kutukana Viongozi wetu? Inasikitisha kuwa na mtu aliyemaliza chuo kikuu, tena Mwalimu...
  12. Mtz-halisi

    Wito: Tujiondoe CHADEMA

    duu sijui kama ni ushauli ulio bora, labda vijana waachane na chama kilicho zeeka kama CCM na kuhamia chama chao CHADEMA. M4C Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
  13. Mtz-halisi

    Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

    Nimefuatilia sana hoja za wabunge na waziri na naibu wake juu ya TANESCO, ninaona siasa zaidi kuliko hali halisi, hapo ndipo naungana na Zitto kabwe. Sakata la Jairo lilipita bila kutajwa wabunge walio hongwa watanzania tukafurahi sana kwa sababu mtu mmoja kasimamishwa kazi kwa taratibu...
  14. Mtz-halisi

    Hatimaye mkuu wa chuo cha Mkwawa na wasaidizi wake wang'oka kwa wizi

    Naomba nitoe sahihisho, kwa taratibu za chuo kikuu cha Dar es salaam, kiongozi anakaa miaka 3 na baada ya hapo mabadiliko yeyote yanaweza tokea. kwa upande wao mda wao umefika wa kuondoka. Pia hayo ni mabadiliko ya chuo kizima cha Dar es salaam na Campus zake. Pia viongozi wakubwa hawakuhusika...
  15. Mtz-halisi

    Kwa hili tumekosea

    Kwa Mtazamo wangu, mawaziri wameonewa. Muhusika mkuu wa matatizo ndiye anapewa majukumu ya kuadibisha wenzake. hapa ndipo sielewi watanzania wanao furahi eti Mkulu msikivu, kama kweli mkulu ni msikivu mimi naona angekuwa wakwanza kuchukua maamuzi ya kujiuzuru. 1. sababu kubwa kuliko zote yeye...
Back
Top Bottom