Siku hizi ajira ngumu sana, vijana wanatafuta ajira kupitia njia mbali mbali, kwa sasa ni kupitia SIASA, utakuta vijana wenye nguvu na Taaluma zao wanazunguka huku na huko wakitafuta pesa nyingi hata zisizo salaama. Leo hii watu wanaanzisha CHAMA harafu wanatokelezea na misemo ya ajabu eti Taifa...
Ndugu wana JF, nimefuatilia mwenendo wa Chadema na uchaguzi mdogo wa jana na siku za nyuma. Kwa mtu mwenye jicho la tatu anatakiwa kuwapongeza CHADEMA na siyo kuwaponda kama baadhi wanavyofanya. Hakuna sehemu katika Tanzania CCM imepita kiulaini, imefanya kazi ya ziada pamoja na kutumia Police...
Kwa niaba ya wanachama wa CHADEMA twasema ahsante. Uchambuzi wako ulikuwa ni mzuri na wa Busara kubwa, ushauli wa kujenga. Najua imepita siku nyingi toka uandike ushauli wako; Viongozi wa CHADEMA wamesikia na watafanyia kazi. ila sijui kama ndugu Zitto alisoma na kuuelewa.
Tuzidi kuomba juu ya...
Mimi ni mtaalamu wa IT chuo kimoja wapo cha hicho ulicho andika, hao ni wataalamu fake wametowa maneno kishabiki. kwenye IT kuna specification nyingi i.e Programming, Database, Graphics, Multimedia, hardware , Artificial inteligent, Image Processing, etc sasa ukimkuta mtaalamu wa Database...
Kuna watu wakutumwa rafiki, siyo mimi. Kwa miaka niliyo ishi najua, huyo Mtela ni mtoto mdogo sana kwangu, sisi ndio tulio mpa jina hilo Vwawa, ila sasa tumekuja jua hana nidhamu. hafai kuwa kiongozi na hatakuja kuwa kiongozi wa kuchaguliwa labda ateuliwe na mabwana zake. Nakuambia hivyo nawe...
Wakati ninakuwa wazazi wangu walinifundisha penda kusikia zaidi na kusema kidogo, ndani ya machache kuna hekima zaidi kuliko maneno mengi, Mtela tumekusikia ila kuwa makini kuna siku utakuwa peke yako unatetea ushahidi wako. Mimi ni mwanachama hai wa Chadema na hakuna mtu anayenijua hapo makao...
Makamu Mwenyekiti Bavicha, Are you a leader?
Ukiona kazi imekushinda ni bora u-resign. Siyo vizuri kutumika kuua chama, usisubiri ufukuzwe uanachama, mbona mwenzenu Davidi silinde katulia sana na anafanya kazi inayo onekana. Naona aibu kuwa na dada kama wewe napata aibu hata kusema sisi watu wa...
Gwakisa, Mpiganaji jana nilikushauli kaa chini usome shule, umalize. Kijana uliyeonekana tegemeo la Chama leo umegeuka na kuona kila kitu kibaya.
Wewe hapo nyuma ulikuwa unasema wazi wazi kuwa tatizo la chama kuna mamluki wengi toka CCM na ukipendekeza uongozi uchukue hatua, na baazi ya hao...
Huyu Tuntemenke anakera sana sana, Anyway
Ungekuwa na akili nzuri ungetulia na zile kura ulizopata mwaka 2010 ungeongeza kidogo tuu ukawa mbunge mtalajiwa wa jimbo lako. sasa wewe umekeza kwenye kunywa pombe na kutukana Viongozi wetu? Inasikitisha kuwa na mtu aliyemaliza chuo kikuu, tena Mwalimu...
Nimefuatilia sana hoja za wabunge na waziri na naibu wake juu ya TANESCO, ninaona siasa zaidi kuliko hali halisi, hapo ndipo naungana na Zitto kabwe. Sakata la Jairo lilipita bila kutajwa wabunge walio hongwa watanzania tukafurahi sana kwa sababu mtu mmoja kasimamishwa kazi kwa taratibu...
Naomba nitoe sahihisho, kwa taratibu za chuo kikuu cha Dar es salaam, kiongozi anakaa miaka 3 na baada ya hapo mabadiliko yeyote yanaweza tokea. kwa upande wao mda wao umefika wa kuondoka. Pia hayo ni mabadiliko ya chuo kizima cha Dar es salaam na Campus zake. Pia viongozi wakubwa hawakuhusika...
Kwa Mtazamo wangu, mawaziri wameonewa. Muhusika mkuu wa matatizo ndiye anapewa majukumu ya kuadibisha wenzake. hapa ndipo sielewi watanzania wanao furahi eti Mkulu msikivu, kama kweli mkulu ni msikivu mimi naona angekuwa wakwanza kuchukua maamuzi ya kujiuzuru.
1. sababu kubwa kuliko zote yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.