Mwaka juzi nliibiwa tecno wx4 kweli sikuumia saana
Ila sio hii ya sasa angalau nimeelewa Samsung A11 ikiibiwa ntaitafuta hadi niipate sitaiacha bure kama ile tecno.
Mimi nawaombea marehemu babu zangu na bibi zangu pamoja na wagonj'wa bila kuwaacha wazazi wangu
Kama ni kosa kutomwombea huyo mnyaturu mmoja nipelekeni kwa Amsterdam [emoji53][emoji53][emoji53]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.