Sijaelewa kitu kimoja naomba mnifafanulie vizuri
1. Mapendekezo na aliyoyasema kuyafanya au kuyatekeleza je yana uhusiano na bajeti ya Mwaka huu au yatakuwa na uhusiano na bajeti ya mwakani.
Mfano Bima ya Afya kwa wote, maeneo tajwa kujenga barabara na hayakujadiliwa kwenye bajeti ya mwaka huu, Miradi ya maji na Elimu.
Endapo atakuwa ametaja vitu ambavyo atavitekeleza na kuanza kuvitekeleza mwaka huu hadi mwakani na tusema havikuwa kwenye bajeti ya mwaka huu fund allocation inakuwa ina reflect wapi na matumizi yake yanakuwa ni ya fedha za dharura au maana atakuwa ametumia pesa ambazo Bunge halija idhinisha.
Ufafanuzi naombeni kwa walio muelewa.
1. Mapendekezo na aliyoyasema kuyafanya au kuyatekeleza je yana uhusiano na bajeti ya Mwaka huu au yatakuwa na uhusiano na bajeti ya mwakani.
Mfano Bima ya Afya kwa wote, maeneo tajwa kujenga barabara na hayakujadiliwa kwenye bajeti ya mwaka huu, Miradi ya maji na Elimu.
Endapo atakuwa ametaja vitu ambavyo atavitekeleza na kuanza kuvitekeleza mwaka huu hadi mwakani na tusema havikuwa kwenye bajeti ya mwaka huu fund allocation inakuwa ina reflect wapi na matumizi yake yanakuwa ni ya fedha za dharura au maana atakuwa ametumia pesa ambazo Bunge halija idhinisha.
Ufafanuzi naombeni kwa walio muelewa.