Habari wanaJF kuna mtu kastaafu tangu April 2018, alikuwa mtumishi wa umma anaehudumiwa na PSPF( social security wise). Mtu huyu hajalipwa hela zake tangu kustaafu na nina mdai hela nyingi. Naombeni wanaojua taratibu za malipo hasa kwa watu waliostaafu mwaka huu, je wameshalipwa. Nashukuru...
Moto ambao chanzo chake hakijabainika unatejeteza vubanda vya biashara hapa katika soko kuu la kayanga Wilayani Karagwe Mkoa wa Kagera, hii ikiwa ni mara ya pili ndani ya kipindi cha mwaka mmoja.
Zima moto wanajitahidi ila changamoto ni ujenzi holela.
Kama mjuavyo namba moja anakuja Kesho huku kagera, katika maandalizi ya mapokezi yake umelazimu baadhi ya viongozi wa halmshauri waondoke jioni hii kwenda mkoani (bukoba).
Katika dhana ya kushirikiana DC kamuombea LIFT luteni wa jwtz ambaye pia anaenda mkoani kwa shughuli za mapokezi,KITUKO ni...
Nimekutana na hii kwenye runinga za Kenya, imeniumiza Sana na kunichanganya, hasa wakati ambapo ninafikiria kuacha kazi yangu ya sekta binafsi Niende DSM kutafuta CPA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.